Leo rais wetu Volodymyr Zelenskyy ametembelea Mkoa ambao Urusi wameua sana raia Bucha nje kidogo ya mji wa Kyiv. Watu walikufa sana. Nikipata nafasi nitatuma picha za maiti. Ila huu mji wamezika watu 300 kaburi moja.
Hivi Vifaru Ujerumani ilitaka kuviteketeza coz havina hazi. Ukraine imeomba kuvinunua vyote na amekubaliwa. Vitaendea moja kwa moja Mariupol. Hivi Vifaru vinafahamika kama Infantry fighting vehicle