Warusi sasa hivi hawana tofauti na nguruwe pori, maana wanashinda kwenye mahandaki.Hawa Warusi walikuwa wanaishi na nguruwe
View attachment 2380852
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warusi sasa hivi hawana tofauti na nguruwe pori, maana wanashinda kwenye mahandaki.Hawa Warusi walikuwa wanaishi na nguruwe
View attachment 2380852
Dubu(wolf) Hakukubaliana kukosa kabisa- naye anatakapo japo kidogo tu. HahahahaaaTwende kazi
View attachment 2380592
Urussi watawaambia wafuasi wao kwamba daraja lipo vizuri ila mafundi na wahandisi wanalifanyia ukarabati mkubwa ili liweze kupitisha vifaru na ndege - Nyie Tulieni.Wakuu, hili daraja kulipuliwa na aibu kwa Urusi iliyodai inalilinda hili Daraja kwa Mitambo maalum. Halafu lilipo ni mbali na Frontline ya Ukaine ilipo. Hadi wikii iishe, lote litakuwa chini. Urusi watawaambia nini wafuasi wao?
View attachment 2380601
Ngoja chakula kiishe. Watatoka tu kufuata au kutafuta kingine.N a hapo ndio itakuwa kuilia na kusaga meno.Warusi sasa hivi hawana tofauti na nguruwe pori, maana wanashinda kwenye mahandaki.
Happy birthday PutinMzee wa mikwara Putin alisema ikitokea nchi yeyote ikagusa Daraja lake la Crimea basi atatandika nuclear.
Leo anasema itakuwa ni kitendo Cha kigaidi tu na sio Ukraine waliotandika sababu hawana uwezo.
Kapewa zawadi yake ya birthday ya kutimiza miaka 70 Duniani.
Asanteni.
Analeta unyambilisi Kwa wazee WA kazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa alijifanya kuweka mtego awaue Waukraine kumbe walikuwa wameshamuona. Naye wamemuambia ajisalimishe akaanza fyatua risasi, wakammaliza
View attachment 2379105
Sasa wameelewa ila wamechelewa kidogo. Pale darajani cjui watatumia chopa au waogelee kama hakuna mamba. Vinginevyo wasubiri maji yagande kuwa barafu halafu watajipitia kiulaini wakitembea kwa miguu. Kiburi chao kitaisha.Warusi wameanza kuikimbia Crimea, Watapita wapi? Kila siku tunawaambia Ukraine sio kwao walikuwa hawaelewi
View attachment 2380604
Kabisa Naumga mkono hoja. Hakuna sababu ya kuumia kwa ajili ya mijitu ambayo kwanza haina hata shukrani. Wenyewe walianzisha vita halafu wanawasukumia huko watoto wa wenzao eti wao ndo wakafe. Hatua ya kwanza ni kujisalimisha tu- mambo mengine baadayeUungwana ni ku surrender. Angalau inakupa possibility ya 50% survival. Failure to comply the order, is to threaten your life by 100%.
Uungwana ni vitendo, wakikaza fuvu watageuka kuwa mizoga. Aliyewapa order ya kuja kuua wa Ukraine hakuna hata mtoto wake aliyeenda kwenye mobilized troops. To surrender is the very best option for them.
AamenSafi sana. Ukraine troops mungu yuko pamoja nanyi. Tunawaombea sana kwa mungu, muwatoe hawa washenzi waliovamia ardhi yenu na kuua raia wasio na hatia.
Yap! Kufa kufaana. Watakaohitaji zaidi hayo mafuta ni hao wanaokimbia-kimbia.Baada ya daraja kubomolewa, Wafanyabiashara Crimea wamepandisha bei dakika 0🤣🤣
View attachment 2380720
😅😅😅😅😅Dubu(wolf) Hakukubaliana kukosa kabisa- naye anatakapo japo kidogo tu. Hahahahaaa
Namwona Mrussi akisali sala ya mwisho.Kidadeki. Shikamoo Ukraine. Kumbe Kombora linaweza fika Moscow. Kama wameshindwa linda hili daraja na yale mavifaa walipachika darajani sijui S-400 air defense system. Hazijaona kitu🤣🤣🤣 zipo outdated.
View attachment 2380721
Mhhh! Mfa maji haachi kutapatapa.Hicho ndo walikuwa wanakitafuta. Warusi wanadai siyo makombora la Ukraine bali ni bomu limetegwa. Swali la kujiuliza daraja kubwa kiasi kile kwa ulaya nzima halina ulinzi mpaka mtu akatege bomu?
Watulie tu; dawa inaingia taratibu.Wanajitetea. Hata hivyo plan ilikuwa ni kulilipua, tutege bomu, turushe kombora au nyambizi. Leongo moja kukata mawasiliano na tumefanikiwa. Wataka kutupangia tubomoe kwa kutumia Sururu au?
Ukraine watamtesa sana Mrussi. Yale ambayo Mrussi anadhani Ukraine hayawezi ndio kwanza Ukraine anayatekeleza kwa wepesi sana na kwa uhakika zaidi.Tuliwaambia tutaliboa wakabisha. Tukawaambia mipango imekamilika wakabisha. leo nina raha sana
View attachment 2380750
Naam! Mzigo huo wamejiwekea dhamana. Mzigo huo utatumika dhidi yao muda sio mrefuAsante Urusi kwa kutuachia mzigo wa kutosha
View attachment 2380902
Kwa kweli leo, Hiiii; tumejawa na furaha tele.Hebu toa maelezo ya mlipuko huo tafadhari. Umetunyima uhondo. Wengine tunapata furaha sana tunapoona maghala ya silaha za warusi yamelipuliwa. Kulipuliwa Crimea Bridge imetupa furaha kubwa sana leo.