Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wakuu, hili daraja kulipuliwa na aibu kwa Urusi iliyodai inalilinda hili Daraja kwa Mitambo maalum. Halafu lilipo ni mbali na Frontline ya Ukaine ilipo. Hadi wikii iishe, lote litakuwa chini. Urusi watawaambia nini wafuasi wao?
View attachment 2380601
Mafuta kwa ajili ya vifaru vyao yameunguzwa. Reli hiyo haipitiki tena.
 
Kidadeki. Shikamoo Ukraine. Kumbe Kombora linaweza fika Moscow. Kama wameshindwa linda hili daraja na yale mavifaa walipachika darajani sijui S-400 air defense system. Hazijaona kitu🤣🤣🤣 zipo outdated.
 
Warusi Crimea wamejazana vituo vya mafuta kujaza mafuta. Jamaa nao wamepandisha bei. Wamepanic, mbele hawaendi, nyuma hawaendi
1665235300666.png
 
Kidadeki. Shikamoo Ukraine. Kumbe Kombora linaweza fika Moscow. Kama wameshindwa linda hili daraja na yale mavifaa walipachika darajani sijui S-400 air defense system. Hazijaona kitu🤣🤣🤣 zipo outdated.
View attachment 2380721
Hicho ndo walikuwa wanakitafuta. Warusi wanadai siyo makombora la Ukraine bali ni bomu limetegwa. Swali la kujiuliza daraja kubwa kiasi kile kwa ulaya nzima halina ulinzi mpaka mtu akatege bomu?
 
Hicho ndo walikuwa wanakitafuta. Warusi wanadai siyo makombora la Ukraine bali ni bomu limetegwa. Swali la kujiuliza daraja kubwa kiasi kile kwa ulaya nzima halina ulinzi mpaka mtu akatege bomu?
Wanajitetea. Hata hivyo plan ilikuwa ni kulilipua, tutege bomu, turushe kombora au nyambizi. Leongo moja kukata mawasiliano na tumefanikiwa. Wataka kutupangia tubomoe kwa kutumia Sururu au?
 
Back
Top Bottom