Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyokataa kujisalimisha ni kutokana na kujiamini, au akili zao zinakuwa haziko sawa?Hawa waliambiwa wajisalimishe, aloawambia wakamshambulia.. ikabidi wauawe tu
View attachment 2378966
Hataki hata punje ya mkate idondoke. 😂😂😂 ana Nenge balaa 😂😂😂Mwenzao alojisalinisha anakula vinono
View attachment 2379194
Leo umeamua kweli. Hadi inakinaisha kabisa kuangalia mizoga hii.Inatosha. Kama kuna mtu bado anaamini Warusi hawafi ana matatizo ya akili
View attachment 2379172View attachment 2379173
Hii ndio dawa yaoJamaa alijifanya kuweka mtego awaue Waukraine kumbe walikuwa wameshamuona. Naye wamemuambia ajisalimishe akaanza fyatua risasi, wakammaliza
View attachment 2379105
Hahahaaa kadata na milio ya bunduki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatoroki mtu
View attachment 2379146
Ni kweliPutin hafai anazidi kutoa kafara warusi wenzie ana la kujibu huko mbinguni
Wanajiamini, wanajua wana backup. Jeshi la Urusi limejengwa kwa propaganda. Mfano: siku tatu tutakuwa Kyiv, atakayeingilia vita ya Ukriane tunamteketeza, Urusi ndo nchi ya pili kwa ubora wa jeshi nk.Wanavyokataa kujisalimisha ni kutokana na kujiamini, au akili zao zinakuwa haziko sawa?
Hakika ni kielelezo kizuri sana kwa vizazi vijavyo, ni funzo tosha kwa wanaodhani kwa kutumia ubabe unaweza kujitwalia maeneo ya nchi nyingine kimasihara. Imenikumbusha ile Operation ya dk.90 iliyofanywa na makomandoo wa Israel huko uwanja wa ndege Entebe Uganda (OP. Thunderbolt) na kufanikiwa kuokoa maisha ya abiria na pia kufanikisha kuondoka nao huku wakiwaacha majeshi ya Iddi Amini baadhi yao mizoga na wengine majeruhi. Imenikumbusha jinsi Tz ilivyomfurumusha nduli Iddi Amin hadi kupelekea kuanguka kwa utawala wake.Operesheni iliyofanikiwa ya Ukraine kukabiliana na Urusi, wataalam wa Vita wanataka katika masomo ya kimataifa kuhusu mbinu na mikakati ya kijeshi Ijuishwe. Ukraine wameweza kukomboa Km 6000 za mraba kwa siku chache. Wamefanyaje? Wanataka ifundishwe kwenye shule za jeshi. United24media wameweka video fupi jinsi ilivyofanywa. Nayo imehifadiwa
View attachment 2379350
Asante kwa maelezo ya kina Mkuu,kuwa na jeshi la kisasa ni gharama sana,hapo tunazungumzia first aid kit ya mwanajeshi mmoja tu,bila silaha na mambo mengine,sijui Africa tunamudu hii?Mkuu, hili swali lako zuri sana. Nilikujibu kwa ufupi tu. Sasa nina muda ngoja twende deep kidogo. Ukiacha Silaha, Mwanajeshi anatakiwa awe na vifaa vya Msaada wa Kwanza vya kumsaidia au kusaidia mwenzake[military first aid kit]
View attachment 2378849
Vipo vitu vingi vinatakiwa lakini kuna vitu vya Muhimu unatakiwa uwe navyo.
View attachment 2378854
Sterile gauze bandage:
Hii Bandeji ina matumizi mengi: Kuzuia jeraha la mtu aliyeungua, kuzuia damu kuvuja. kurekebisha mfupa ulioteguka.
View attachment 2378864
Bandeji ya Dharura:
Bandeji ya dharura pia inaitwa "bandeji ya Israeli" imeundwa mahsusi kusaidia wapiganaji kwa kujitegemea kutumia hata kwa mkono mmoja.
View attachment 2378865
Plasta ya Kufungia jelaha
View attachment 2378867
hemostatic Bandage
Hii ni bandeji fulani imekaa kama zig zag, yenyewe sio ya kuzungusha, kwani mtu anaweza pata jelaha sehemu ambapo ili ya kuzunguka haiwezi faa mfano Kifuani. So inatumika hii
View attachment 2378871
Gloves. hivi mtu anavaa anapotoa hutumia ili kuzuia maambukizi na uchafu kuingia kwenye kidonda au kwa mtoa huduma.
View attachment 2378875
Thermal blanket:
Hii kazi yake ni kutunza joto kukiwa na baridi, hii moto haupenyi hivyo unaweza jikinga na moto au jua kali, hii unaweza kingia maji kwenye mto au Maji ya mvua kama huna sehemu ya kubebea nk. Hii ipo kama ganda la ndani la pakti ya sigara ila yenyewe imara zaidi.
View attachment 2378876
View attachment 2378886
Tourniquet au CAT tourniquet: Hii unaifunga ili kuzuia damu kuvuja sana. Inazuia damu kupotea. Ipo kama ile ya kupimia presha hospitali ambayo wanafunga kwenye mkono.
View attachment 2378888
Emergency Shears
Huu ni Mkasi wa kukatia nguo, Mkanda au kiatu ili kurahisisha utoaji huduma ya kwanza. Umetengenezwa kiasi kwamba kichwa hakiwezi jeruhi mwili unapokuwa unakata, kishikio ni Plastiki.
View attachment 2378897
View attachment 2378955View attachment 2378965
View attachment 2378957
View attachment 2378959
Marker Pen: Hizi ni kalamu imara za kuwekea alama kwenye tourniquet. Pia zinasaidia kuweka alama sehemu. Mfano kwenye mti au ubao kutoa ishara kwa wenzako wajue mumepita wapi. Pia unaweza kuandika kwenye nguo ya mtu alopoteza maisha muda na sehemu ili kuweka kumbukumbu sawa. Hii inahimili hali zote za hewa. Haifutiki kwa urahisi
View attachment 2378904
Nasopharyngeal Airway: Hii inasaidia kupitisha hewa.
View attachment 2378911View attachment 2378925
Hivi ni baadhi ya vitu unavyoviona kwenye hilo begi la kifuani ambalo pia halipitishi risasi. hivyo ni kinga
Mkuu; clip ipi hiyo sijaiona. Naomba uniwekee.Huyo jamaa katoa mavi kabisa
Hapo ni kwa Uchache. Pia anatakiwa awe na military canteen kiasi kwamba akifika sehemu anapika anakula.Asante kwa maelezo ya kina Mkuu,kuwa na jeshi la kisasa ni gharama sana,hapo tunazungumzia first aid kit ya mwanajeshi mmoja tu,bila silaha na mambo mengine,sijui Africa tunamudu hii?
Very simple hiyo. Watakumbatiana.Kuna msala mwingine unalisubiri jeshi la Urusi winter inapoingia. Hawana mavazi mazuri ya kukabiliana na Winter!
Mavazi Turkey amekataa wauzia, Ukraine wamepewa bure.Kuna msala mwingine unalisubiri jeshi la Urusi winter inapoingia. Hawana mavazi mazuri ya kukabiliana na Winter!
Enhe! Hiyo nayo ni fursa nyingine kwa Ukraine kuwakandamiza Warusi wanapohangaika na baridi kali(Barafu).Mavazi Turkey amekataa wauzia, Ukraine wamepewa bure.
Kutokana na baridi kali ndo maana Ukraine wamefuta conscription