Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Binafsi hata hizo Nuclear zake sina imani nazo.Lakini Mrussi si alishaambiwa kwamba wenzake wanatumia more advanced technology?
Mrussi Yeye bado anang'ang'ana na analogia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi hata hizo Nuclear zake sina imani nazo.Lakini Mrussi si alishaambiwa kwamba wenzake wanatumia more advanced technology?
Mrussi Yeye bado anang'ang'ana na analogia.
AsanteHuo mkasi unasaidia kuchana nguo pale mwanajeshi anapo jeruhiwa. Saa nyingi mtu anaumia kiasi kwamba kila anapoguswa makelele. Hivyo kumvua nguo wanachana. Kwaajili ya huduma ya kwanza. Mfano
View attachment 2378631
Asante
Mkuu, hili swali lako zuri sana. Nilikujibu kwa ufupi tu. Sasa nina muda ngoja twende deep kidogo. Ukiacha Silaha, Mwanajeshi anatakiwa awe na vifaa vya Msaada wa Kwanza vya kumsaidia au kusaidia mwenzake[military first aid kit]Wanajeshi wengi wa Ukraine huwa naona wanakuwa na limkasi hapo mbele ni kwa ajili gani?
Safi mkuu nimejifunza kitu apaMkuu, hili swali lako zuri sana. Nilikujibu kwa ufupi tu. Sasa nina muda ngoja twende deep kidogo. Ukiacha Silaha, Mwanajeshi anatakiwa awe na vifaa vya Msaada wa Kwanza vya kumsaidia au kusaidia mwenzake[military first aid kit]
View attachment 2378849
Vipo vitu vingi vinatakiwa lakini kuna vitu vya Muhimu unatakiwa uwe navyo.
View attachment 2378854
Sterile gauze bandage:
Hii Bandeji ina matumizi mengi: Kuzuia jeraha la mtu aliyeungua, kuzuia damu kuvuja. kurekebisha mfupa ulioteguka.
View attachment 2378864
Bandeji ya Dharura:
Bandeji ya dharura pia inaitwa "bandeji ya Israeli" imeundwa mahsusi kusaidia wapiganaji kwa kujitegemea kutumia hata kwa mkono mmoja.
View attachment 2378865
Plasta ya Kufungia jelaha
View attachment 2378867
hemostatic Bandage
Hii ni bandeji fulani imekaa kama zig zag, yenyewe sio ya kuzungusha, kwani mtu anaweza pata jelaha sehemu ambapo ili ya kuzunguka haiwezi faa mfano Kifuani. So inatumika hii
View attachment 2378871
Gloves. hivi mtu anavaa anapotoa hutumia ili kuzuia maambukizi na uchafu kuingia kwenye kidonda au kwa mtoa huduma.
View attachment 2378875
Thermal blanket:
Hii kazi yake ni kutunza joto kukiwa na baridi, hii moto haupenyi hivyo unaweza jikinga na moto au jua kali, hii unaweza kingia maji kwenye mto au Maji ya mvua kama huna sehemu ya kubebea nk. Hii ipo kama ganda la ndani la pakti ya sigara ila yenyewe imara zaidi.
View attachment 2378876
View attachment 2378886
Tourniquet au CAT tourniquet: Hii unaifunga ili kuzuia damu kuvuja sana. Inazuia damu kupoea
View attachment 2378888
Emergency Shears
Huu ni Mkasi wa kukatia nguo au kiatu ili kurahisisha utoaji huduma ya kwanza. Umetengeneza kiasi kwamba kicha hakiwezi jeruhi mwili unapokuwa unakata, kishikio ni Plastiki.
View attachment 2378897
Marker Pen: Hizi ni kalamu imara za kuwekea alama kwenye tourniquet. Pia zinasaidia kuweka alama sehemu. Mfano kwenye mti au ubao kutoa ishara kwa wenzako. Pia unaweza kuandika kwenye nguo ya mtu alopoteza maisha muda na sehemu ili kuweka kumbukumbu sawa. Hii inahimili hali zote za hewa. Haifutiki.
View attachment 2378904
Nasopharyngeal Airway: Hii inasaidia kupitisha hewa.
View attachment 2378911View attachment 2378925
Hivi ni baadhi ya vitu unavyoviona kwenye hilo begi la kifuani ambalo pia halipitishi risasi. hivyo ni kinga
Yote ya nini hayo jamani? Hivi kwa ustaarabu ambao dunia imefikia haiwezekani dunia ikakubaliana kuachana na vita? Kuifanya dunia mahali salama pa kuishi? Inauma sana!Mkuu, hili swali lako zuri sana. Nilikujibu kwa ufupi tu. Sasa nina muda ngoja twende deep kidogo. Ukiacha Silaha, Mwanajeshi anatakiwa awe na vifaa vya Msaada wa Kwanza vya kumsaidia au kusaidia mwenzake[military first aid kit]
View attachment 2378849
Vipo vitu vingi vinatakiwa lakini kuna vitu vya Muhimu unatakiwa uwe navyo.
View attachment 2378854
Sterile gauze bandage:
Hii Bandeji ina matumizi mengi: Kuzuia jeraha la mtu aliyeungua, kuzuia damu kuvuja. kurekebisha mfupa ulioteguka.
View attachment 2378864
Bandeji ya Dharura:
Bandeji ya dharura pia inaitwa "bandeji ya Israeli" imeundwa mahsusi kusaidia wapiganaji kwa kujitegemea kutumia hata kwa mkono mmoja.
View attachment 2378865
Plasta ya Kufungia jelaha
View attachment 2378867
hemostatic Bandage
Hii ni bandeji fulani imekaa kama zig zag, yenyewe sio ya kuzungusha, kwani mtu anaweza pata jelaha sehemu ambapo ili ya kuzunguka haiwezi faa mfano Kifuani. So inatumika hii
View attachment 2378871
Gloves. hivi mtu anavaa anapotoa hutumia ili kuzuia maambukizi na uchafu kuingia kwenye kidonda au kwa mtoa huduma.
View attachment 2378875
Thermal blanket:
Hii kazi yake ni kutunza joto kukiwa na baridi, hii moto haupenyi hivyo unaweza jikinga na moto au jua kali, hii unaweza kingia maji kwenye mto au Maji ya mvua kama huna sehemu ya kubebea nk. Hii ipo kama ganda la ndani la pakti ya sigara ila yenyewe imara zaidi.
View attachment 2378876
View attachment 2378886
Tourniquet au CAT tourniquet: Hii unaifunga ili kuzuia damu kuvuja sana. Inazuia damu kupoea
View attachment 2378888
Emergency Shears
Huu ni Mkasi wa kukatia nguo au kiatu ili kurahisisha utoaji huduma ya kwanza. Umetengeneza kiasi kwamba kicha hakiwezi jeruhi mwili unapokuwa unakata, kishikio ni Plastiki.
View attachment 2378897
View attachment 2378955View attachment 2378965
View attachment 2378957
View attachment 2378959
Marker Pen: Hizi ni kalamu imara za kuwekea alama kwenye tourniquet. Pia zinasaidia kuweka alama sehemu. Mfano kwenye mti au ubao kutoa ishara kwa wenzako. Pia unaweza kuandika kwenye nguo ya mtu alopoteza maisha muda na sehemu ili kuweka kumbukumbu sawa. Hii inahimili hali zote za hewa. Haifutiki.
View attachment 2378904
Nasopharyngeal Airway: Hii inasaidia kupitisha hewa.
View attachment 2378911View attachment 2378925
Hivi ni baadhi ya vitu unavyoviona kwenye hilo begi la kifuani ambalo pia halipitishi risasi. hivyo ni kinga
Wamegeuka kuwa nungunungu sasa wanaishi kwenye mashimo 😂😂😂.Hawa waliambiwa wajisalimishe, aloawambia wakamshambulia.. ikabidi wauawe tu
View attachment 2378966
Tatizo ni wanasiasa. Wao wanakwambia ukapigane huku wao wamekaa kwenye air conditioner. Ufe usife ni juu yako. Hutaki wanakushughulikia. Akili za wanasiasa wanazijua wao.Yote ya nini hayo jamani? Hivi kwa ustaarabu ambao dunia imefikia haiwezekani dunia ikakubaliana kuachana na vita? Kuifanya dunia mahali salama pa kuishi? Inauma sana!
Vita lazima viwepo ili mkubwa ajulikaneYote ya nini hayo jamani? Hivi kwa ustaarabu ambao dunia imefikia haiwezekani dunia ikakubaliana kuachana na vita? Kuifanya dunia mahali salama pa kuishi? Inauma sana!