figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #7,141
Anafikiri huu ni uzi wa mipasho. Wanawake wa kwa mpalange midomo huwa inawawasha kwa mipasho. Achana naye.Umekujaq huku una hela ya bando kuangalia clips....?
Huku hakuna ngonjera, mapambio wala majarida...
Tukutumie na ya kutolea...uweke bando
Asante mkuu,nimeonaMwanajeshi wa Urusi akipewa huduma ya kwanza baada ya kujisalimisha. Hii video itampa mwanga zaidi Farolito kuhusu matumizi ya ule Mkasi na vifaa vingine vya first aid kits ambavyo Wanajeshi wa Ukraine wanabebelea kifuani.
View attachment 2385479
Yaani kwa ufupi, jirani ya Urusi atayekuwa na zana za kisoviet ni Belarus pekeeBaada ya vita hii kuisha, Ukraine atakuwa mzuri sana kijeshi na atakuwa na silaha za kisasa za kujilinda. Litakuwa miongoni mwa jeshi Bora sana katika nchi za EU
Virtual Reality at its bestMafunzo ya kutumia Igla MANPADS yanaendelea. Teknolojia ni kitu kingine. Akiyoka hapa ameiva
View attachment 2385274
Umekatazwa weka uzi wenu wa kuonesha tunavyopigwa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huu uzi ni kujifariji tu, kichapo mnachochezea kila uchao mnalia lia kuhutumia mara msaada, wanaume hawana habari wanafanya mazoezi ya Pamoja huko sambamba na CHINA na IRAN.
Nyie ndio mnajua mko vitani, wenzenu wako kwenye SMO [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na mkianza kupaza midomo wanawafumuaaaaa then wanaendelea na mishe zao.
Huku hawa Warussi wa Rau madukani nao wanalalamika eti hawakushirikishwa😀😀Mkutano Mkuu wa UN umepiga kura ili kubariki mipaka mipya ya Ukraine. Nchi 143 kati 193 zilizopiga zimekataa kutambua mipaka mipya(zimekua upande wa Ukraine), Nchi 35 hazikuwa na upande na Nchi 5 (Russia, Belarus, North Korea, Syria, na Nicaragua) zilikuwa Upande wa Urusi.
Kwa ufupi, umoja wa mataifa hautambui kitendo cha Urusi kuiba ardhi ya Ukraine na kubadilisha mipaka. Kwa ufupi, Urusi warudi kwao na waache kuuua raia wa Ukraine wasio na hatia. Tunawakumbusha kwamba Crimea, Kherson, Zaporizhzhya, Donetsk na Luhansk ni Mikoa Ukraine. Urusi ondokeni
View attachment 2385497
View attachment 2385489
Baada ya kupiga kura, UN ikaweka hadharani jinsi watu walivyopiga kura
Kha! Ukianguka huna maana wala faida tena kwao - tupa kule.Urusi wanaacha wanajeshi wao wengi nyuma. Ukianguka hawakurudii
View attachment 2385496
Kila siku nawaambia. Waweke thread yao ya picha na video waoneshe tunavyopigwa. Eti wananilazimisha nioneshe tukipigwa. Yaani wanaiambia page ya simba ipost mambo ya yanga au page ya yanga ipost mambo ya simba. Haiwezekani. Kwanza mimi nitazitoa wapi? Frontline ya Urusi hawana Smart phone. Walikuwepo Wale wanajeshi Chechen walikuwa wanajiuita Tik tokers, Azov walishawamaliza, hata waliobaki sijui wamekimbilia wapi. Kidogo walikuwa wanapost.Umekatazwa weka uzi wenu wa kuonesha tunavyopigwa?
Hata mimi.Asante mkuu,nimeona
Ah! Bhana; hao ni vichwa maji, ni vichwa ngumu hawasikii wala hawaelewi - achana nao hawawezi kuanzisha uzi wao.Kila siku nawaambia. Waweke thread yao ya picha na video waoneshe tunavyopigwa. Eti wananilazimisha nioneshe tukipigwa. Yaani wwnaiambia page ya simba ipost mambo ya yanga au page ya yanga ipost mambo ta simba. Haiwezekani.
Umeua mkuu Jamaa akasome hadithi kwenye uzi wao atuachie tujionee kinachoendelea Na Sio kusimuliwa.Umekujaq huku una hela ya bando kuangalia clips....?
Huku hakuna ngonjera, mapambio wala majarida...
Tukutumie na ya kutolea...uweke bando
Haswaa.Umeua mkuu Jamaa akasome hadithi kwenye uzi wao atuachie tujionee kinachoendelea Na Sio kusimuliwa.
Eee jamaa aende huko na yeye akaposti hizo videoUmeua mkuu Jamaa akasome hadithi kwenye uzi wao atuachie tujionee kinachoendelea Na Sio kusimuliwa.