Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hadi mwaka 1941, Marekani lilikuwa Taifa lenye neema sana za kiuchumi. Kama siyo Marekani kuingilia kati ktk vita ya kwanza ya dunia na vita ya pili ya dunia, Ujerumani angewachakaza sana mahasimu wake. Kale kaufaransa Hitler alikapiga ndani ya miezi miwili😀😀
 
Nimeshangaa sana
 
Mainstructors 10 wa Iran waliokuwa wanawafundisha Urusi jinsi ya kutumia Drones, Wameuawa Ukriane kwenye shambulio la anga.
View attachment 2394227
Waw! Safi mno. Hilo ni pigo takatifu maanake Warussi watakuwa na madarasa yasiyo na waalimu. Sasa Watafundishana wenyewe kwa wenyewe. e.g. std.5 anamfundisha std 3. Hahahaaa 😁 🔨
 
Ukatae -Ukubali, tunasema USA ni Super power. Hapendi kuonesha ubabe lakini ukimjia kimasihara utatambua kwamba umeingia mahali pasipostahili kuingia/kujichomeka hovyo. Mfano hai ndo huyu Mrussi sasa analia lia hovyo kumbe kayataka mwenyewe. Analinywa kama alivolikoroga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…