Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kherkiv Urusi walipo fumuliwa na kukimbia, Waliacha Missiles hizi. Hizi zote zililetwa kuangamiza uzao wa Ukraine. Huu mzigo walishindwa kuondika nao
View attachment 2396057
Dah! Kweli Mrussi sio binadamu. Kwa hili, ingefaa sana mzigo huo "upostiwe kwa Mrussi" kwa malengo na makusudi yale yale aliyokuwa amekusudia kuwatendea uzao wa Ukraine kwa kutumia huo mzigo ili naye aonje maumivu yatokanayo na mzigo wake aliouacha Kherkiv. Huyo Mrussi ni mwanaharamu kabisa.
 
Exactly. Hilo ndilo la msingi sana. Hata Wapiganaji watakuwa ni wachache (jeshi dogo)lakini ni very competent. Hata Mwl. J.K.Nyerere wakati wa uhai wake aliwahi kutamka hilo.
 
Haya ni masihala sasa. Niishie hapo.
Kwa kweli tuache masihara aisee. Hata Mrussi sijasikia amezitumia silaha hizi katika hii vita au labda zina majina tofauti? Mrussi mwenyewe ameona masilaha yake aliyojilimbikizia stoo hayana tena umaarufu ni ya kizamani (yamepitwa na wakati) na ameenda kuomba silaha za kisasa kutoka Uarabuni. Watanzania tujifunze kitu kutokana na vita hii.
 
Kherson kaeni tayari. Jeshi linakuja
View attachment 2396134
Ukombozi umewadia. Watafurahi mno. Nimeona (vid. clips)kuna sehemu nyingine wapiganaji wakipokelewa kwa hisia tofauti hadi wananchi wengine wanatoa machozi ya furaha kana kwamba wanawauliza wapiganaji "Mlikuwa wapi ndugu zetu tuliwangoja sana kwa hamu - karibuni sana, poleni kwa safari ndefu........"
 
Ndo maana Urusi anapata tatbu. Wananchi wanakaa kimya sababu wapo kama Mateka, hawana Uamuzi. Watakombolewa tu
 
Yaani watu utafikiri mnaishi kwenye Ikulu ya Putin...asee...yaani ni shidah...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…