Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Duh! Kitu hicho. Kama jogoo anavyopigana.Nenda kulia, kushoto, juu, chini yote kheri. 😂 😂 😂 🏃‍♂️
 
😂😂😂hadi raha. Utadhani Tembo kachokozwa anageuka huku na kule. Hadi inapiga chafya.
 
Unajitoa ufahamu. Baada ya Wanajeshi 34 kufa na kuwekwa kwenye mifuko ya rambo, hawa wakajisalimisha na silaha zao. Ila kwa sababu ni mjinga wa kutotaka kuelewa Urusi ni Magaidi, hutaelewa.

Warusi wenzio wanakusalimia
View attachment 2404175
Mhh! Aisee mkuu Figa.. achana na huyo mtu.- Atakurushia matusi sasa hv.🏃‍♂️🏃‍♂️
Je; Wewe unatakiwa uombe ofisi gani?
 
Achana na huyo, usipoteze muda wako. Tuletee mavitu sisi tupate raha.
 

Sina uhakika sana, lakini soma hiyoooooo[emoji116] Russia Deploys MiG-31Ks With Deadly Hypersonic Missiles To European Border In A Clear Warning To The West
 
Kama wewe ni nyani sawa, ila Mimi sio.
Nimesema kama warusi ni nyani,hata wewe ni nyani!
Sasa ukimuita binadamu mwenzako nyani,maana yake kidole kimoja kimekugeukia!
Nways sioni logic ya haya malumbano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…