figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #8,161
Eti Super power anaomba silaha kwa ka nchi kama Belarus. Shame on him.Intelijensia ya Uingereza yasema Urusi imepungukiwa magari ya kivita ya Infantry. Yalazimika kuomba kwa Belarus
View attachment 2405913
πππyeye na swahiba wake wote kende juu. Kikosi cha Drone wananifurahisha sana sehemu wanazopiga (kende) , hawataki kumwaga ubongo wa mtu πππ
πππMtu yuko katikati ya maumivu kitu kingine kinashuka. Anakubali yaishe tu.
Slava Ukraine [emoji1255]Nimemiss sana Lieutenant colonel Denys "Redis" Prokopenko, Komando wa AZOV alowadindia Warusi kule Mariupol Azovstal. Hadi wakaombwa na Uongozi wa Ukraine kujisalimisha. Wao waliaamua wafe ila si kijisalimisha kwa Mrusi. Tumemiss sana ucheshi, Majigambo na Ishujaa wa Redis kwenye Magroup. Mungu azidi kumpa maisha Marefu
View attachment 2405230
SO NATO na US ndio wameanzisha Vita?kitu hujaelewa hii vita ni kwamba ni vita ya rusia na nato na si rusia na ukraine, na lengo na US ni kushusha nguvu ya ushawishi wa urusi kiuchumi na kijeshi, na hilo watafanikiwa sababu hakuna vita isiyoacha hasara pande zote mbili, so ukraine na urusi wote watapata heavy loss, nato na us wao wanafyatua tu drones wakiwa kwenye base zao poland na german, wanawaangalia tu kwenye kioo
Hivi kweli Urusi angeweza vita na US bila kutumia Nukes?Intelijensia ya Uingereza yasema Urusi imepungukiwa magari ya kivita ya Infantry. Yalazimika kuomba kwa Belarus
View attachment 2405913
Thubutu. Kwanza F-35 ana uwezo wa kuizuia?Hivi kweli Urusi angeweza vita na US bila kutumia Nukes?
Inafurahisha sana kurejea home,nilikuwa naangalia makala fulani BBC kuna familia fulani baba yao mwanajeshi wa Azostal,walikuwa wakiwasiliana ila baada ya kujisalimisha mawasiliano yakakata na hawaelewi yuko hai au la! sasa kila wakipata habari hizi za kubadilishana hasa hawa Azov wanakuwa na matumaini watasikia sauti ya baba yao tena,Mara ya kwanza ikawa hayupo,I hope labda safari hii atakuwepo,au mbadilishano uliopita,Ni mabinti wa kike miaka kama 17 hivi wawili na mama yao.Wanasema Wamimiss sauti ya baba yao,ukiwaangalia wanatia huruma sana maana wanasimulia huku wanalia kwa uchungu.-Leo tumebadilisha wafungwa wa kivita. Wanajeshi 107 walibadilishwa, 74 kati yao ni Wanajeshi na watetezi wa Azovstal. Mungu ni mwema
View attachment 2406144View attachment 2406145
View attachment 2406146
Usihangaike kumjibu huyo kiazi.SO NATO na US ndio wameanzisha Vita?
Huyu mwingine katoa meno, hadi fisi wanamwogopa kumla, wanadhani anataka kuwang'ata. Ndiyo maana hajaguswa na mnyama yeyote ππππ
Mbona pwani ya Croatia ni mbali sana na Russia.Ile meli kubwa ya Kivita ya Marekani, imetia nanga Croatia. Na ipo Tayari kujibu mashambulizi kama Urusi ikisema Suu. Imebeba ndege za kutosha
View attachment 2406871
Hii vita Mrussi alichemka kimahesabu. Haitamwacha salama.Ile meli kubwa ya Kivita ya Marekani, imetia nanga Croatia. Na ipo Tayari kujibu mashambulizi kama Urusi ikisema Suu. Imebeba ndege za kutosha
View attachment 2406871