Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Angalia wananchi wanaokombolewa jinsi wanafurahi kuninasua mikononi mwa Wavamizi wa Urusi. Warusi hawatakiwi Ukriane.. Hawa ni Wananchi wakipokea Frontline ya Ukriane baada ya kukomboa miji yao
 
Pantsir-S1 air defense system ya Urusi.
20221103_043238.jpg
20221103_043241.jpg
 
Miezi nane ya Vita bado Ukraine ina ndege pamoja na kwamba Urusi ilisema umeharibu ndege zote na mifumo ya anga ya Ukraine. Warusi wamefika Ground na kukuta mambo tofsutitofauti. Urusi imejambishwa na Nchi ndogo Ukraine miezi 9. Hawezi fsnya Vita ya dunia kwani atachakazwa hadi aahangae. Nchi ndogo kama Ukraine unashindwa haribu mifumo ya anga bado unajisifia kwamba una jeshi imara Duniani?
 
Nimemiss sana Lieutenant colonel Denys "Redis" Prokopenko, Komando wa AZOV alowadindia Warusi kule Mariupol Azovstal. Hadi wakaombwa na Uongozi wa Ukraine kujisalimisha. Wao waliaamua wafe ila si kijisalimisha kwa Mrusi. Tumemiss sana ucheshi, Majigambo na Ishujaa wa Redis kwenye Magroup. Mungu azidi kumpa maisha Marefu
View attachment 2405230
Yuki wapi sasahivi huyu kamanda?
 
Back
Top Bottom