Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Haya Magari yameletwa kupambana na Drones
20221114_044511.jpg
20221114_044513.jpg
 
Uwanja wa ndege wa Chornobaivka huko Kherson. Warusi waliacha mzigo. Hizo ndege nyingi zinazoonekana zinaitwa Antonov An-2. Za kizamani.. Tutazitumia kumwagilia mashamba ya alizeti🤣🤣
 
Wakuu, hapa ni Oleshky, Mji uliopo upande wa pili wa Kherson ambapo Urusi walikimbilia ukivuka mto Dnipro. Wapelelezi wameenda na kukuta hakuna mwanajeshi wa Urusi wala Bendera. Ngoja tuone itakuaje..
 
Ni ngumu kuzipiga sababu, zinapiga na kusepa. Afu tatizo ni kuwa HARM zimesababisha Urusi kuzima radars zao hivyo counters huwa hazifanyi kazi
Ok, Good, akiwasha rada Harm zinamsoma vizuri? au target inakuwa rada.
 
Back
Top Bottom