figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #8,721
Hii inaonyesha jinsi askari wa Urusi walivyogoma kuendelea na Vita isiyo na maana yoyote kwao.Uwanja wa ndege wa Chornobaivka huko Kherson. Warusi waliacha mzigo. Hizo ndege nyingi zinazoonekana zinaitwa Antonov An-2. Za kizamani.. Tutazitumia kumwagilia mashamba ya alizeti🤣🤣
View attachment 2416039
Ok, Good, akiwasha rada Harm zinamsoma vizuri? au target inakuwa rada.Ni ngumu kuzipiga sababu, zinapiga na kusepa. Afu tatizo ni kuwa HARM zimesababisha Urusi kuzima radars zao hivyo counters huwa hazifanyi kazi
Harm kazi yake kuharibu radarsOk, Good, akiwasha rada Harm zinamsoma vizuri? au target inakuwa rada.
Good morning comrades. Hope Ur fine.