Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hawa Warusi wanarusharusha Mabomu Kherson. Wanaona wivu maisha kuendelea kama kawa. Treni, masoko, hospital miundombinu imetengenezwa. Wanataka kuharibu tena ili Waukraine waishi kwa tabu
Hawatafaulu katika hilo. Huyo ni mfa maji haishi kutapatapa.
 
Habari mbaya kwa Pro Urusi. Kiongonzi wa Wagner, Georgy Korvatovsky, aka "Goha" "Gosha", amekufa na kundi lake. Sasa Dunia itakuwa sehemu salama. Huyu jamaa amepigana vita sehemu tofauti kama Georgia, Syria na Central African Republic. Alikuwa tishio. Ila mbwembwe zake zimeishia Ukraine
View attachment 2422702View attachment 2422703
Ila haijadhibitishwa kama ni kweli.
 
Hiyu ni major Sergei Kadatsky, alikuwa na Wagner, kakukufa.. Sasa Urusi nani atawapa ripoti ya utendaji kazi wa Wagner?
20221121_220949.jpg
20221121_220951.jpg
 
Back
Top Bottom