Hawatafaulu katika hilo. Huyo ni mfa maji haishi kutapatapa.Hawa Warusi wanarusharusha Mabomu Kherson. Wanaona wivu maisha kuendelea kama kawa. Treni, masoko, hospital miundombinu imetengenezwa. Wanataka kuharibu tena ili Waukraine waishi kwa tabu
Ila haijadhibitishwa kama ni kweli.Habari mbaya kwa Pro Urusi. Kiongonzi wa Wagner, Georgy Korvatovsky, aka "Goha" "Gosha", amekufa na kundi lake. Sasa Dunia itakuwa sehemu salama. Huyu jamaa amepigana vita sehemu tofauti kama Georgia, Syria na Central African Republic. Alikuwa tishio. Ila mbwembwe zake zimeishia Ukraine
View attachment 2422702View attachment 2422703
Safi kabisa - akufe na kule kungineGeorgy Korvatovsky alijifanya kunyoa ndevu asitambulike.. Ila bado akaenda na maji
View attachment 2422707
Lisemwalo lipo, kama halipo laja. Muda utasema.Ila haijadhibitishwa kama ni kweli.
Hajafa? Tuliza mtima, kafaIla haijadhibitishwa kama ni kweli.
Upo sahihi. Mifumo inatambua konbora limetokea wapi, hivyo mkihama mnakuwa mimewapoteza. Hata wanajeshi wa miguu wakipiga wanahama kwa mfumo wa ZigzagOK. Hit and run au nimechemka bro.
Nikipata picha aliyouma magego nitaamini πππHajafa? Tuliza mtima, kafa
Hatari sana. Gari dogo unavuta dude hilo.π€π€
Hilo tractor linavuta mtumbwi unaotoka moshi. Linaeleaje tractor na hayo matairi. πππ
Hii ngoma wameisink au?