Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa ni Urusi katika mji wa Biryuch, Mkoani Belgorod, na hivi ni Vifaru vya Urusi vilivyoharibiwa Ukraine ndo wanavipeleka hapa. Sababu vikiachwa uwanja wa Vita Ukraine inavichukua na kuvikarabati na kurudiahwa mzigoni. So now wameamua kuvivuta na kuvipekeka hapa
 
Hawa ni Defence Intelligence of Ukraine (GUR), hawapendi kuonekana sura zao, hapa iliwalazimu ili kuwashukuru waliowasaida drones za upelelezi. Hata hivyo huwezi mjua ni nani.. Wanaficha sura
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…