Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine hawaachi mtu nyuma. Hata kama Kimara hadi Mbagala, wataenda naye tofauti na wenzetu Urusi. Urusi mtu akizidiwa wanampiga risasi eti anaweza kutekwa akatoa siri
View attachment 2425526
Huo ndio ubinadamu na upendo. Huwezi jua kama ni majeruhi anaweza pona na baadaye akawa tena mpambanaji mzuri katika nyanja tofauti na frontliner.
 
Oh; so sad. RIP .
Tumeua watu wetu wenyewe. Makombora ya Urusi hayajaua mtu. Sisi air defence system iligoma kwenda umbali uliotakiwa. Ikatua kwenye makazi ya watu. NASAMS ya Norway

Ipo hivi, Kyiv kuna kengere na alarms. Kukiwa na hatari huwa zinapigwa watu wanajificha chini ya ardhi ndo maana hata makombora hayaui watu sana bali miundombinu.
Your browser is not able to display this video.
 
Oh My! Ni bahati mbaya. Ni ajali. RIP wahanga wa ajali hiyo.
 
Huyu ni kiongozi wa Wagner PMC unit "Cherdash". Baada ya kuona drone ya Ukraine ikitaka kumuua, akaona aimalize. Hata hivyo alikuwa kashetenguliwa Mguu na Askari wa Miguu. Drone ilimpa nafasi ajisalimishe badala yake akaanza kuishambulia
Your browser is not able to display this video.
 
"Drone ilimpa nafasi ajisalimishe badala yake akaanza kuishambulia"
Drone ilimpa majibu stahiki chap. Safi sana na Iwe ni funzo kwa watakaothubutu kuiga ujinga huo.
 
Chemba 9 za kutesea wqtu zimegundulika Kherson. Pia imegunduliwa miili ya 432 wa raia waliouliwa na Urusi
View attachment 2426384
Mrussi ni mnyama kwa maana halisi ya mnyama. AZOV kweli wapo sahihi kabisa wanachokifanya kwa waRussi wanaowakamata hapo Kherson - Wanaondokaga nao kwa kusema ni wafungwa wa kivita then wanaenda kumalizana nao kiulaini kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…