Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine hawaachi mtu nyuma. Hata kama Kimara hadi Mbagala, wataenda naye tofauti na wenzetu Urusi. Urusi mtu akizidiwa wanampiga risasi eti anaweza kutekwa akatoa siri
View attachment 2425526
Huo ndio ubinadamu na upendo. Huwezi jua kama ni majeruhi anaweza pona na baadaye akawa tena mpambanaji mzuri katika nyanja tofauti na frontliner.
 
Oh; so sad. RIP .
Tumeua watu wetu wenyewe. Makombora ya Urusi hayajaua mtu. Sisi air defence system iligoma kwenda umbali uliotakiwa. Ikatua kwenye makazi ya watu. NASAMS ya Norway

Ipo hivi, Kyiv kuna kengere na alarms. Kukiwa na hatari huwa zinapigwa watu wanajificha chini ya ardhi ndo maana hata makombora hayaui watu sana bali miundombinu.
 
Tumeua watu wetu wenyewe. Makombora ya Urusi hayajaua mtu. Sisi air defence system iligoma kwenda umbali uliotakiwa. Ikatua kwenye makazi ya watu. NASAMS ya Norway

Ipo hivi, Kyiv kuna kengere na alarms. Kukiwa na hatari huwa zinapigwa watu wanajificha chini ya ardhi ndo maana hata makombora hayaui watu sana bali miundombinu.
View attachment 2425709
Oh My! Ni bahati mbaya. Ni ajali. RIP wahanga wa ajali hiyo.
 
Habari janero
20221124_075231.jpg
20221124_083830.jpg
20221124_083843.jpg
20221124_083848.jpg
20221124_083853.jpg
20221124_083858.jpg
 
Huyu ni kiongozi wa Wagner PMC unit "Cherdash". Baada ya kuona drone ya Ukraine ikitaka kumuua, akaona aimalize. Hata hivyo alikuwa kashetenguliwa Mguu na Askari wa Miguu. Drone ilimpa nafasi ajisalimishe badala yake akaanza kuishambulia
 
Huyu ni kiongozi wa Wagner PMC unit "Cherdash". Baada ya kuona drone ya Ukraine ikitaka kumuua, akaona aimalize. Hata hivyo alikuwa kashetenguliwa Mguu na Askari wa Miguu. Drone ilimpa nafasi ajisalimishe badala yake akaanza kuishambulia
View attachment 2426233
"Drone ilimpa nafasi ajisalimishe badala yake akaanza kuishambulia"
Drone ilimpa majibu stahiki chap. Safi sana na Iwe ni funzo kwa watakaothubutu kuiga ujinga huo.
 
Chemba 9 za kutesea wqtu zimegundulika Kherson. Pia imegunduliwa miili ya 432 wa raia waliouliwa na Urusi
View attachment 2426384
Mrussi ni mnyama kwa maana halisi ya mnyama. AZOV kweli wapo sahihi kabisa wanachokifanya kwa waRussi wanaowakamata hapo Kherson - Wanaondokaga nao kwa kusema ni wafungwa wa kivita then wanaenda kumalizana nao kiulaini kabisa.
 
Back
Top Bottom