OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Huo ndio ubinadamu na upendo. Huwezi jua kama ni majeruhi anaweza pona na baadaye akawa tena mpambanaji mzuri katika nyanja tofauti na frontliner.Ukraine hawaachi mtu nyuma. Hata kama Kimara hadi Mbagala, wataenda naye tofauti na wenzetu Urusi. Urusi mtu akizidiwa wanampiga risasi eti anaweza kutekwa akatoa siri
View attachment 2425526