Kwa vyovyote vile, Ukraine amemzidi akili Mrussi. Mrussi akili kisoda.Kwa jinsi Urusi anavyoendelea kushindwa Frontline, kuna hofu anaweza tumia silaha za Kemikali. Maandalizi ya kukabiliana nayo yashaanza
View attachment 2426382
Ni kweli atanyooka tu - Shenzi kabisa. Njaa siyo kitu cha masihara aisee "A hungry man is an angry man" chezea kitu ingine sio njaa mazeeAdui muombee njaa tu atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa 😁
Mhhfyu- Tmyup! kidume keshajinyea. Hahahaaa. Mrussi anajuta kuivamia Ukraine. Yan laiti ingewezekana kurewind mkanda; basi Mrussi(Putin) siku aliyoamua kuivamia Ukraine ange opt kwenda shamba kulima kwa mikono au kwenda kuwaona wakwe. Asingefanya uamuzi huo wa kijinga na ambao sasa anaujutia- lakini basi tena ndo imeshakuwa hivyo.
Wanaume hawajali cha baridi wala barafu kuganda migongoni mwao.Frontline ya Ukraine ikisonga mbele
View attachment 2427319