Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Colonel Davydov Denis, commander of the regiment of radioactive, chemical and biological protection, was killed in Ukraine
20221202_124311.jpg
 
Warusi wakidakwa wanakuwa wapole kama wanaendesha misa ya mazishi
View attachment 2433408
Nawakubali sana wapigananji wa Ukraine. Wanamoyo wa ubinadamu sana. Yan hata mateka wanampa sigara kumwonesha wanamtambua kama binadamu mwenza japokuwa alikuja kuwaua Ukraine.-Lakini yy huyu katumwa tu, hawana ugomvi naye ila mbaya wao ni Putin izraeli mtoa roho aliyeamuru uvamizi ufanyike.
 
Halafu anakuja njemba mmoja hapo juu anatulisha matango pori eti " Mrussi anasogea mdogo-mdogo" Hahahaa.
Njemba tumemwomba alete ushahidi, akawa mpole. Kaonyesha uungwana kwa kuchutama 😂😂😂
 
Yaani hadi raha. "Wazee wa Drones" Hii kitu kwa Mrussi ni kama shubiri mwitu -Haimezeki lakini hawa wazee wanawamezesha Warussi kwa lazma watake-wasitake. Juzi kati hapo nilimwona Mrussi mmoja kwenye handaki kamezeshwa hiyo hadi dish likayumba mazima akawa anachezesha miguu hapoo dah! cjui ndo ilikuwa ngoma gani vile mara paap! akaongezewa tena kitu chap na akili ikamkaa sawa.😆😆
Huenda alikuwa mmakonde huyo. Alikuwa anacheza ngoma ya kimakonde kwenye handaki 😂😂😂😂
 
Mtu wa Frontline ya Ukraine akipoteza maisha, hivi ndo wanamzika na wananchi mkipishana na msafara, Wananchi kwa uzalendo wanapiga magoti barabarani kama heshima kila msafara unapopita
 
Back
Top Bottom