Wazungu ni wazungu tu. Whatever problem they face it's just a matter of time they will come up with a solution; those guys never give up no matter how difficulty the situation might be!Air Defense [emoji91][emoji91]View attachment 2446860
Eti isingekuwa vita vya Uganda uchumi wetu ungekuwa sawa na china😂😂😂😂Wazungu ni wazungu tu. Whatever problem they face it's just a matter of time they will come up with a solution; those guys never give up no matter how difficulty the situation might be!
Huku kwetu hadi leo tunasingizia vita vya Uganda kama sababu ya matatizo yetu; kwamba nchi ni masikini and one of the reasons ni Idd Amin Dada.
Na wajanja wakapata uchochoro wa kupiga hela ndefu.🙄🙄Eti isingekuwa vita vya Uganda uchumi wetu ungekuwa sawa na china😂😂😂😂
Yule jamaa mwenye kichwa kilichobondeka naye akaja na kamba nyingi eti nchi hii imechezewa sana. Anataka tuwe Dona (unga) kantrii. 😂😂😂. Ghafla Dona kantrii ina viwanda zaidi ya 10,000 eti tuko uchumi wa viwanda. 😂😂😂😂. Ni zaidi ya wacheza sarakasi.
Walipita na kuogelea kwenye uchochoro ule ule na wakapiga pesa ya maana. Walipojua tu na yeye ni maneno mdomoni naye ni mpigaji wakapita mule mule. 😂😂😂Na wajanja wakapata uchochoro wa kupiga hela ndefu.🙄🙄
Hata sisi wa huku Umasaini ndani-ndani huko tunakupenda na tunakutakia afya njema na Mungu akulinde ikawe kwako ni Heri na Amani.As Salamu 'Alaikum wa Rahmatullahi wa Barakatuhu. Mungu ni mwema anazidi kitupigania. Urusi anatupiga hii vita lakini Ishindi ni wetu? Sijapost kwa muda sababu ya changamoto za Maisha. Tunaishi.
Tunapost mafanikio ya Ukraine si vingine. Samahani kwa ninao wakwaza. Siwezi post mambo ya Iruso sababu sina access nao na siwapendi. Mimi ni Pro NATO.. hata damu ikivuja inajiandika NATO.
Namshukuru Mungu kwa uzima na kuendelea kutulinda kila mmoja. Nawapenda Waswahili wenzangu wa Nangurukuru na Kanyamahela❤️
Tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu awajalie wepesi muwe na mafanikio katika mpambano unaoendelea dhidi ya fashisti Mrussi - Aamen.
Kwaio kukanusha ni uoga.Nilichojifunza kweny maelezo yako ni unaendeshwa na hisia. Kwaio mrusi alivokanusha kuua raia Ukraine alikua anamuogopa nan [emoji16][emoji16][emoji16]Nilichojifunza kuhusu sakata la makombora yaliyotua Poland;
1. Russia kumbe anaiogopa sana NATO, alivyokanusha kwa haraka na kwa utetezi mkubwa ni dhahiri anaogopa vita kati yake na NATO.
2. Russia alijua kagusa sharubu za Simba, hasa ukizingatia kuwa hili limetokea wakubwa wa Dunia wakiwa wamekusanyika Indonesia. Alijua watasema apigwe au asulubiwe.
3. USA na NATO ni watu wastaarabu sana na wanaofanya kazi zao kwa misingi ya haki. Walikuwa na uwezo wa kumsingizia Russia kuwa kapiga kwenye NATO territory na kuchukuliwa kama sababu ya kumpiga Russia. Lakini Pentagon na Biden wamekuwa wa kwanza kuweka angalizo kuwa "Unlikely Russia ......" japo wanajua Russia hakurusha hilo Kombora Poland.
4. Pro Russia wamekuwa wa kwanza kueneza habari kuwa USA imesema kuwa Russia haijahusika huku wakijua uchunguzi haujakamilika. Lile Neno lililotumiwa na Mzee Biden na Pentagon kuwa "Unlikely Russia ........., we are waiting for investigation". Hawajataka hata kusikia maneno mengine "....... waiting for investigation", wao wame conclude kuwa USA na NATO wamesema Russia haijahusika.
Kwa kifupi, kumbe anayejiita super powers anaiogopa NATO. Alijua akikaa kimya hata kwa siku moja bila kukanusha wanaume wanaweza kumfanyizia.
Safi sana .Hongera kwa kazi nzuri. Wagner group- Mamluki wamestahili. Kazi iendelee hadi wamalizwe wote.Asanteni Wanajeshi wenzetu wa Georgia kwa kuwateketeza Warusi wa kikundi cha Wagners huko Bakhumut 💪
View attachment 2448152
Uzi wa mtu mmoja kivipi mkuu? Hebu fafanua kidogo.Tulizoea jeshi la mtu mmoja ila Jf naona kuna uzi wa mtu mmoja
Slava Ukraine [emoji1255]Habari za leo. Tunamshukuru Mungu kila kunapokucha. Salaam Mabibi na Mabwana. Migandamizo inaendelea. Hii ni Frontline ya Ukraine. Upendo utawale
View attachment 2447785View attachment 2447786View attachment 2447787View attachment 2447788View attachment 2447789View attachment 2447790View attachment 2447791View attachment 2447792View attachment 2447793View attachment 2447794View attachment 2447795View attachment 2447796View attachment 2447797View attachment 2447798View attachment 2447799