figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #9,801
Vifaru vya Ukraine vikiwa vinaingia center ya Bakhmut jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo karushwa kwenye bati na Artillery au kapanda kwa hiari yake. Kawakimbia Fisi lakini kunguru amewarahishia kupata kitoweo wakiwa eneo la kujidaiHawa Warushi hiki ndo kilikuwa kiama chao. Hakuna mwenye sababu ilimleta Ukraine kuungua
View attachment 2452345
Security Guarantee ipi wakati Ukraine Ilipa Russia hiyo Sevastopol naval base hata baada ya nchi hizo kuachana?Ukraine ilikuwa nyutro hadi pale Russia ilipo vamia Crimea.je ulitegemea Ukraine kubaki nyutro hata baada ya Russia kuivamia?Crimea ikichukuliwa meli zake zote ataondoa kwenye hiyo miduara. Ndiyo maana hata kwenye negotiation anayotaka moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATO
Warussia wajinga Sana pia ego ya usuper power.Russia inatishia majiran zake afu hapo hapo hutaki wajilinde? Russia yenyewe ndo inatakiwa itoe security Guarantee Kwa majiran zake ila Kwa Sela zake kila nchi itakuwa adui kwakeMaana yake anataka NATO & USA wasaini makubaliano ya kutoishambulia Russia na kusiwe na further expansion ya NATO territories. Ndiyo maana ya Security Guarantee anayotaka.
Anataka negotiations na USA, mzee mzima hataki anasema uka negotiate na Ukraine.
Alivyo mjinga anapangia wanaume cha kufanya.
Hawa walirushwa kama popcorn 😂😂😂Huyo karushwa kwenye bati na Artillery au kapanda kwa hiari yake. Kawakimbia Fisi lakini kunguru amewarahishia kupata kitoweo wakiwa eneo la kujidai
😂😂😂kweli hiyo kitu inawakaanga na kuwarudisha kama popcorn 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Hawa walirushwa kama popcorn 😂😂😂
Tutawapata tuu,maana uraiani wataonekana na sura zao za kigaidinaona wameamua kuvua magwanda ili wawe Raia kwa usalama wao.