Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hata wakiteka, hawana makombora yake. Labda wapeleke Makumbusho. Hata software yake hawana
 
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Zingine ni propaganda. Mfano habari gani? Shukuru kwa kile ulichonacho. Wapi jeshi limepoteza ambapo ni Muhimu? Izyum ipo Ukraine vipi ingetekwa? Si ungelia kabisa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Asante sana Kwa majibu mzuri .usife moyi endelea kutuletea updates
 
Hiki ndo kiwanda kinachotengeneza zile Shahed 136 zinazotusumbua kule Ukraine?.

Hii vita naona mdogomdogo inapanuka. Tusije tukaingia WW3
WW3 ni kugusa tu yaani chap maana hakuna anayetaka kurudi nyuma. wanamlainisha kwanza mrusi kabla ya kumvamia.
 
Hiki ndo kiwanda kinachotengeneza zile Shahed 136 zinazotusumbua kule Ukraine?.

Hii vita naona mdogomdogo inapanuka. Tusije tukaingia WW3
1. Huko hatuwezi kufika. USA, NATO na washirika wako extra care kwenye hilo.

2. Russia hana ubavu wa kupigana na mataifa haya makubwa. Yakipeleka vifaa vya NATO na askali wa NATO na USA, vita itaisha ndani ya mwezi tu Kremlin itakuwa imepigwa.

3. Russia ana washirika dhaifu in terms of military power. Ndo maana it is unlikely for WW3 to happen. Kama aliyekuwa anatamba kuwa ni super power ana kiwango kile, washirika wake wenye majina yanayoishi na ....stan, wana nini cha kutustaajabisha kwenye military.
 
Hiki ndo kiwanda kinachotengeneza zile Shahed 136 zinazotusumbua kule Ukraine?.

Hii vita naona mdogomdogo inapanuka. Tusije tukaingia WW3
1.Usipoziba ufa utajenga ukuta 2. Mwanzo wa ngoma ni lele
Kweli tuwe makini au waangalifu. Haka kamchezo kataifikisha dunia mahali pa baya.
Japokuwa sio rahisi kivile.
 
Wametest mitambo iran wameona pepesi, Sasa wataanza kujibondea tu.
Ayatolah ataomba lakini hatosikilizwa. Mbona walishawahi kumwambia hivo vidrone vya kuunga-unga visimpe kiburi- Atulie na akomae na hali yake. Yeye anataka aketi meza moja na Wakubwa.
 
"Over the weekend, an Iranian military factory was hit by a drone attack that a US official said appeared to have been carried out by Israel. Israel has not commented."

Source: Aljazeera
A drone factory hit by a Drone attack - wonderful, amazing 💪 🔨🔨
The Drone Factory manager must know if it is one of his products. If not, then he/she should appreciate that the factory is producing inferior drones and somebody there has superior drones.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…