Yaani mara mia Mji Uchukuliwe kuliko vifaa vya jeshi kutekwa au kuteketezwa. Pia hali ya hewa imechangia.. Njia za Pori hazipitiki.
Mimi bado nawapongeza Ukraine sababu ukilinganisha nguvu ya Ukriane na Urusi, ni kama mara nne yake. But wanaweza wakazui mji usichukuliwe hata miezi 5.
Lazima kuwepo na mipango mikakati. Ungekuwa ni mji wa kuzui usichukuliwe ilikuwa ni Mariupol. Lakini Ukraine iliachia.. Tangu 2014 ni mara ya nne Ukraine inapoteza Mji wa Mariupol lakini baada ya muda unarudi. Hivyo kuna miji hata ikichukuliwa itarudi tu hata baada ya miaka 10. Mfano Odessa, Mariupol Bakhmut na hata Dnipro. Bado wafuasi wa Ukraine inabidi watambue sisi tunategemea nguvu za washirika kwani peke yetu hatuwezi. Pia jeshi la Ukriane limeiva.
Pia tuliamini jeshi la Ukraine. Kumbuka pia asilimia kubwa ya Vifaa vinavyo tumika sasa vingi ni vya Urusi wanatumia. Kuna sehemu Ukriane wanamudu then wanawaachia Urusi waingize vifaa vya Jeshi ili Wavizingire wapate Silaha na Risasi. Tumeiona ikifanyika Kherson na kharkiv. Silaha zilizotekwa zimetumika kuikomboa Izyum na Bakhmut hadi soledar na Sloviansk. Tuwapongeze wanajeshi wa Ukraine kwani bila wao hakuna wa kutupigania na hawana makosa.
Kila siku hatuwezi kushinda sisi tu.