Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wiki iloisha, Urusi ilipoteza wanajeshi 1000(Elfu Moja) ndani ya siku mbili wakijaribu kuuteka mji wa Vuhledar na Putin wala hajali
View attachment 2518777
Putin Hawezi kujali hata kidogo. Yeye anachotaka ni kazi ipigwe kwa malipo aliyotoa kwa hao Wagner gp. na masharti ya Mkataba yazingatiwe kikamilifu. Laa; Huwezi kazi unaogopa vifo, Ok Vunja mkataba na ulipe gharama zitokanazo na uvunjaji wa Mkataba. Ngoma ni nzito kwa Wagner kwa sababu kambi kuu(HQ)ya Wagner PMC ipo hatua chache tu kutoka HQ ya Urusi. Wagner aki-misbehave atafinywa masikio.
 
Kutokana na Mazingira ya baridi. Pia ni Vikosi tofauti. Wengine ndani unakuta kavaa nguo nyingi, ili akizidiwa anavua sare ya juu anajifanya raia wa Ukaine.
MBona askarinwa Ukrain wenyewe hawana hizi tabia kaka yaani wao wanakuwaga wote wanavaa combat za aina moja ata kama ni kundi la watu 100 au 50 lakini wanakuwa na uniform moja je Ukrain yenyewe haina vikosi tofauti tofauti vinavyoshirikiana au ni kaka emu tueleweahe vyema apa tujue
 
Urusi wao wanataka wagombanie Mjini ili wabomoe Makazi ya watu. Wanapiga Makombora Makazi ya watu kisha wanajisifia. Hawa wanafanya uharibifu tu. Msituni hawataki, wanataka vita ipiganwe mjini.. Hapa ni Vuhledar
View attachment 2518760
Jana nilikuwa nafatilia Invasion ya US na Allies Iraq 1991, pale ndege zilitumika sana kuharibu miundombinu ya kijeshi tu kwa wiki 5 hadi Sadam akakubali kurudi nyuma.

2003 alitumia mbinu hiyo hiyo na kwa chini ya Mwezi tayari alikuwa yuko Makao Makuu.

Hakubomoa nyumba za watu

Urusi sasa, kila sehemu yeye ni kubomoa tu hajali uhai wa watu.

Ukiangalia Mariupol, Bakhmut, Vuhledar huko pote kaharibu mno
 
MBona askarinwa Ukrain wenyewe hawana hizi tabia kaka yaani wao wanakuwaga wote wanavaa combat za aina moja ata kama ni kundi la watu 100 au 50 lakini wanakuwa na uniform moja je Ukrain yenyewe haina vikosi tofauti tofauti vinavyoshirikiana au ni kaka emu tueleweahe vyema apa tujue
Hawa Ukraine wapo kwao hawana cha kujificha na Urusi ni wavamizi wanajishitukia. Urusi ilitakiwa ipambane na Marekani au British huko. Ukraine ni kumuonea ili aonekane ana nguvu. Mbona Poland haigusi? Ukraine japo ndogo inamjambisha balaa. Vipi angechokoza Ujerumani au Marekani? Urusi muda huu ingekuwa ishafutwa
 
Jana nilikuwa nafatilia Invasion ya US na Allies Iraq 1991, pale ndege zilitumika sana kuharibu miundombinu ya kijeshi tu kwa wiki 5 hadi Sadam akakubali kurudi nyuma.

2003 alitumia mbinu hiyo hiyo na kwa chini ya Mwezi tayari alikuwa yuko Makao Makuu.

Hakubomoa nyumba za watu

Urusi sasa, kila sehemu yeye ni kubomoa tu hajali uhai wa watu.

Ukiangalia Mariupol, Bakhmut, Vuhledar huko pote kaharibu mno
Urusi aliharibu mji wa Bucha hadi hautamaniki. Anaona wivu. Ukraine imejengwa kwa mpangilio hadi mitaa, yeye mji wake kama mbagala kibonde maji au Mburahati. Anabomoa nyumba aonekane mbabe mbona kambi za jeshi haendi. Na ubabe wote, Urusi imeshindwa kukanyaga Volyn, Lviv wala hajawahi kanya mkoa Livne. Wala hiyo mikoa haijawahi kimbia nchi. Anaonea Mikoa aliyo pakana nayo. Kuna makombora yanatoka Urusi hadi Ukraine moja kwa moja. Ukraine inataka silaha za masafa marefu ila Marekani bado anabana.
 
Wanajeshi wetu 101 wa Azov waliokuwa Mariupol wakilinda Azovstal plant, wameachiliwa huru baada ya kubadilisha wafungwa kwa uwiano wa 1:1. Mungu ni mwema wapo hai. Wameambiwa waende kupumzika hawataki,wanataka waende Frontline
 
Hello everyone
20230217_070110.jpg
20230217_070116.jpg
20230217_070122.jpg
20230217_070134.jpg
20230217_070144.jpg
20230217_070152.jpg
20230217_070213.jpg
20230217_070220.jpg
20230217_070203.jpg
20230217_070239.jpg
20230217_070246.jpg
20230217_070227.jpg
 
Kumbukumbu: Februari Mwaka 2015, Azov waliwatandika Urusi waliotaka kuuteka Mji wa Mariupol katika operation Shyrokyne. Mrusi alikuwa anataka Crimea, Donbas, Mariupol zote ziwe Urusi lakini mbele ya Azov alishindwa. Na baada ya Urusi kushindwa kuutwaa mji wa Mariupol mwaka 2014 na 2015, Azov wameendelea kuulinda huo mji na Wananchi waliendelea kuishi kwa Amani hadi 2022 Urusi alipovamia tena kulipiza kisasi. Kwa sasa Azov wapo wanajipanga na Wameapa kuirudisha Mariupol. Urusi hana muda mrefu wa kuikalia Mariupol.

Hii Video ni Mapambano mwaka 2015 ambapo Urusi alipiteza alipotaka kuiteka Mariupol ili aibe chuma.
 
Back
Top Bottom