Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huu mzigo uloshuka ambao kuna M2 Bradley IFVs, HMMWVs na AN/TWQ-1 Avenger version, ngoja tuone Ubora wake. Kama kutakuwa na mabadiliko. Nadhani hatua kwa hatua. Ngoja kazi ipigwe mwezi ndo tutajua ubora kabla ya kulalamika sana. Kipindi Urusi amechachamaa na Drone zake za Iran aina ya Shahed-136, Ujerumani alitoa Silaha inaitwa Gepard self-propelled air defense systems. Tukalalamika sana kwamba sio silaha nzito. Baada ya wiki tukaona Mafanikio, sasa hivi Drone za Urusi sio tishio tena. Gepard moja inaweza angusha hata drone 30. Japo sio nyingi ila kila sehemu yenye Miundombinu sasa hivi kuna Gepard japo hakuna za kutosheleza Nchi nzima.
View attachment 2518127View attachment 2518128View attachment 2518129View attachment 2518130
Hii ndo Gepard
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Angalia kundi la Maiti za Urusi. Risasi za kichwa tu. Wamekuja Ukraine kufanya nini?
View attachment 2518357
Aisee! vichwa vimebomolewa utadhani ni chungu cha udongo. Dah! Lakini bro. yataka moyo sana kuangalia maiti zote hizo na jinsi vichwa vyao vilivyobomolewa kwa risasi. Yani ni kama kubangua korosho za Mtwara kule kwa mkono. Inaonekana Ukraine ni washenzi kwa shabaha. Slava Ukraine.
 
Kila siku usiku askari wa Wagner wanajaribu kuvamia huko Bakhmut wakiwa katika vikundi vya watu wachache wachache, lakini wengi wanauawa sana lakini bado wanapelekw watu tu.

Cheki hii video

View attachment 2518309

Usicheze na Technology. Wao wanadhani usiku hawaonekani maana ni gizani. Jamaa wanawaweka kwenye target na kuwateketeza. Hongera sana kikosi cha upelelezi, hamlali mnawasubiria panya buku waje.
 
Marekani wamefanikiwa kutengeneza miwani inayowezesha kuona Usiku aina ya ENVG-B night vision. Miwani hii inasaiddi kuona kukiwa na Vumbi, moshi, giza nene hata mtu akiwa chini ya ardhi. Hii miwani itawezesha Ukraine kupigana usiku na mchana.
View attachment 2518349
Kweli mrusi alibugi men. Safari hii kanasa. Kama ndo hivo wanaume watapiga mzigo hadi usiku.
 
Urusi wao wanataka wagombanie Mjini ili wabomoe Makazi ya watu. Wanapiga Makombora Makazi ya watu kisha wanajisifia. Hawa wanafanya uharibifu tu. Msituni hawataki, wanataka vita ipiganwe mjini.. Hapa ni Vuhledar
 
Baada ya kifaru chao kulipuliwa, ikabidi wajisalimishe. Wanaogopa risasi za kichwa
20230216_000254.jpg
 
Back
Top Bottom