Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Naomba link ya Uzi wa urusiNi kweli kabisa mkuu. Cha kufanya - Kama ww unatokea kwenye uzi ule basi Rudi kule hapa umepotea njia. Lakini unaweza kusoma alimradi tu usituletee yale matusi na kejeli za kule i.e. Uwe mtaarabu.
kuna mmoja mwishoni alijaribu kutambaa sijui kama alifika popoteWanajeshi wa Urusi walijifanya kuvamia Frontline ya Ukraine Usiku huko karibu na Bakhmut. Warusi 7 waliteketezwa,
View attachment 2521373
Inavyoelekea Viongozi wa jeshi rasmi la Urusi wanawaonea wivu Wagner, angalau Wagner wanasimama kiume ila jeshi rasmi wao wakipigwa offensive wanakimbia. Kwa hiyo ni kama wanahujumiana, hawawapi wagner kila wanachohitajiWagners wengine hawa huku wanaomba Makombora ya Vifaru vyao. Si wamuombe Urusi? Watakoma, ndo kwanza moto umeanza
View attachment 2521372
Walikuwa wanatembea kwa kujimwambafai, ghafla wakatambaa kama mijusi ππππWanajeshi wa Urusi walijifanya kuvamia Frontline ya Ukraine Usiku huko karibu na Bakhmut. Warusi 7 waliteketezwa,
View attachment 2521373
Ametambaa hatua chache tu kitu kingine kikambinua kende zikawa juu. πππkuna mmoja mwishoni alijaribu kutambaa sijui kama alifika popote
Tatizo linaweza kuwa supply route imekatwa. Sidhani kama Urusi anaweza kufanya sabotage wakati anataka ashinde vita.Inavyoelekea Viongozi wa jeshi rasmi la Urusi wanawaonea wivu Wagner, angalau Wagner wanasimama kiume ila jeshi rasmi wao wakipigwa offensive wanakimbia. Kwa hiyo ni kama wanahujumiana, hawawapi wagner kila wanachohitaji
Mmmh! Mm nadhani tatizo linaweza kuwa Wagner hajagundua kwamba boss wake aliyemkodishia vita (outsource) Urussi, mambo yamemkalia vibaya na alichobaki nacho huyo boss ni uwezo wa kulipa kwa mujibu wa Mkataba. Hii ni kwa sababu wanajeshi wake waliokuwa mahiri + makamanda (majenerali) katika vita wameuawa wengi hadi amefikia mahali anahiari kumpa mkuu wa askari wa Wagner Ukuu na amsimamie mkuu wa majeshi ya Urussi. Yan inachekesha sana, ni kama kwa mfano hapa Tz, kiongozi wa NGO fulani ndani ya Wilaya apewe mamlaka ya kumsimamia DED wa wilaya husika katika utendaji wake wa siku kwa siku....ikimaanisha DED atapokea maelekezo ya ni nini cha kufanya kutoka kwa kiongozi wa NGO ambayo ipo ndani ya wilaya yake.Tatizo linaweza kuwa supply route imekatwa. Sidhani kama Urusi anaweza kufanya sabotage wakati anataka ashinde vita.
Na wakasiginwa kama mende sakafuni. Sidhani kama kuna aliye weza kusevu.Walikuwa wanatembea kwa kujimwambafai, ghafla wakatambaa kama mijusi ππππ
Hahahaaa. Mkuu unasema jeshi rasmi hawawapi wagner kila wanachohitaji.Inavyoelekea Viongozi wa jeshi rasmi la Urusi wanawaonea wivu Wagner, angalau Wagner wanasimama kiume ila jeshi rasmi wao wakipigwa offensive wanakimbia. Kwa hiyo ni kama wanahujumiana, hawawapi wagner kila wanachohitaji
Hebu nitoeni tongotongo;Mmmh! Mm nadhani tatizo linaweza kuwa Wagner hajagundua kwamba boss wake aliyemkodishia vita (outsource) Urussi, mambo yamemkalia vibaya na alichobaki nacho huyo boss ni uwezo wa kulipa kwa mujibu wa Mkataba. Hii ni kwa sababu wanajeshi wake waliokuwa mahiri + makamanda (majenerali) katika vita wameuawa wengi hadi amefikia mahali anahiari kumpa mkuu wa askari wa Wagner Ukuu na amsimamie mkuu wa majeshi ya Urussi. Yan inachekesha sana, ni kama kwa mfano hapa Tz, kiongozi wa NGO fulani ndani ya Wilaya apewe mamlaka ya kumsimamia DED wa wilaya husika katika utendaji wake wa siku kwa siku....ikimaanisha DED atapokea maelekezo ya ni nini cha kufanya kutoka kwa kiongozi wa NGO ambayo ipo ndani ya wilaya yake.
Wote walioingia kwenye target wamesanuliwa kende. Hakuna iliyebaki kwa mujibu wa video πππNa wakasiginwa kama mende sakafuni. Sidhani kama kuna aliye weza kusevu.
Korea kaskazini na China sijaona msaada wao kwa mshirikaWagners wengine hawa huku wanaomba Makombora ya Vifaru vyao. Si wamuombe Urusi? Watakoma, ndo kwanza moto umeanza
View attachment 2521372
Kwa sasa tukonkwenye phase nyingine ya kivita zile drone hazina haziitajiki tena matumizi yake kwa aina hii ya vita iliyopo saiv haviendani kila phase ha vita na aina ha silaha ndo maana kwa sasa kwa sababu mbinu za kivita zimebadirika basi unaona ata matumizi ya HIMARS pia yamepungua hii ni kutokana na mbinu za kivita zinabadirika kila siku ma ujue na adui naye ni binadamu anayo mawazo na anawazua jinsi ya kuzizuia silaha zetu!!Hivi Bayraktaars ziliishia wapi?.
Ziliisaidia sana Ukraine kuthibiti advance ya Urusi kuelekea Kyiv
Labda Uturuki waliishiwa.Hivi Bayraktaars ziliishia wapi?.
Ziliisaidia sana Ukraine kuthibiti advance ya Urusi kuelekea Kyiv
Are you serious kuwa matumizi ya HIMARS yamepungua.Kwa sasa tukonkwenye phase nyingine ya kivita zile drone hazina haziitajiki tena matumizi yake kwa aina hii ya vita iliyopo saiv haviendani kila phase ha vita na aina ha silaha ndo maana kwa sasa kwa sababu mbinu za kivita zimebadirika basi unaona ata matumizi ya HIMARS pia yamepungua hii ni kutokana na mbinu za kivita zinabadirika kila siku ma ujue na adui naye ni binadamu anayo mawazo na anawazua jinsi ya kuzizuia silaha zetu!!
Msaada wao ni wamempa darasa / kumsomesha huyo mshirika kwamba akomae na hali yake na kila mtu ashinde mechi zake. Wanampiga dana-dana.Korea kaskazini na China sijaona msaada wao kwa mshirika
Na msababishi mkuu, ni USA; kwa sababu Taiwan yupo, Korea kusini yupo, Ukraine yupo.Msaada wao ni wamempa darasa / kumsomesha huyo mshirika kwamba akomae na hali yake na kila mtu ashinde mechi zake. Wanampiga dana-dana.
N. Korea anafuatilia mechi yake na S.Korea; China naye yuko bize na hoja ya Taiwan.
Naam; Huyo si ndo bwana mkubwa?. Unashangaa nn.Na msababishi mkuu, ni USA; kwa sababu Taiwan yupo, Korea kusini yupo, Ukraine yupo.