Yap! Unajua ni kwa nini? Ardhi haiongezeki lakini binadamu wanaongezeka sana tena kila siku. Na Mungu hana mpango wa kuumba au kutengeneza ardhi nyingine tena ya ziada. Kwa hiyo hii iliyopo ni ya kulinda sana.Ukiangalia hii vita urusi vs ukraine binadamu hana thamani kabisa, ardhi inathaminiwa kuliko uhai
Amewapa "advertise" wale wote wanaodhani watafanya kama Urussi alivyofanya kwa Ukraine -Uvamizi. Hako kamchezo wajue kukingali mapema kwamba hatakagi kabisa.Poland kajifunza kutoka kwenye historia.
Wao walikuwa wahanga wa mwanzo wa kuvamiwa na Majeshi ya Hitler enzi za vita kuu ya pili. Sasa hivi hataki kukaa kilegelege
Hakujawahi kuwepo vita rahisi. Ila kwa hii, ni kweli kwani inatumia akili nyingi zaidi na teknologia ya hali ya juu sana i.e. Inapiganwa kidigitali zaidi.Hii vita ngumu sana
Broo; Hiyo mashine achana nayo kabisa. Imemnyanyasa na kumdhalilisha sana Mrussi kwenye hii vita - Mrussi alifikia mahali akachanganyikiwa akaanza kutwanga mbao kwa maroketi na mabomu akidhani hizo ndo HIMARS. 😀HIMARS inapiga mzigo hata ikiwa highway
View attachment 2522193
Kumbe ndo maana wenzao ni wajuzi wa mbio mfano wa digidigiBelarusi anamtishia Maisha Poland kisa anashirikiana na Ukriane. Sasa leo jumapili wanatisha watu kwa kuonesha uimara wa jeshi lao. Haina tofauti na Jeshi letu tu. Eti wanapasua jiwe kifuani mara tofari kwa kichwa🤣
View attachment 2523191View attachment 2523192View attachment 2523193View attachment 2523194
Yaani kama panya bukuAngalia Warusi(alama nyekundu) wqnavyotolewa mafichoni. Hii nchi mtaondoka tu
View attachment 2523677
Ardhi inawameza,mwenye akili arudi nyumbani.Hawa Warusi, handaki limegeuka kuwa kaburi lao. Walidai eti kwenye baridi ndo wanakuwa active, mbona hatuoni?
View attachment 2523684
Bange mbaya,kavuta yenye punje za mbegu.Sema huyu ni Mjinga. Mshajua mumeingia kwenye mtego then unaenda kichwa kichwa. Alijiona Schwarzenegger
View attachment 2523672