Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Karne hii uimara wa jeshi unapimwa kwa kupasua tofari. This is ridiculous !!!! 😂😂😂😂. Wenzao wanapima uimara wa jeshi kwa Technology aliyonayo. Labda wanafikiri frontline watu wanacheza mieleka. 😂😂😂
Hizo ndizo mbinu za kijamaa,nguvu nyingi kuliko akili
sikuwahi kufikiri kama ujamaa umeficha neno ujima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…