Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Oleksandr Syrskyi, kamanda wa Vikosi vya Ukraine vilivyopo Mashariki mwa Ukraine, atembelea Bakhmut
20230303_181351.jpg
 
Hawa Warusi wa Wagners walidanganywa eti Ukriane wameretrat Bakhmut, wakaja mbio ili wawe wa kwanza kupiga picha. Wakaingia 18 ya majeshi shupavu

View attachment 2535997
.....wakaja mbio ili wawe wa kwanza kupiga picha. Wakaingia 18 ya majeshi shupavu.... .....then Wakawa wa kwanza kupigwa za usoni kisha wakapigwa picha na majeshi shupavu kuthibitisha kwamba wamemalizwa na kuteketezwa kabisa.
 
Back
Top Bottom