Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Angalia Urusi walivyopigwa Ambushi. Wao wanaenda kama kumbikumbi
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Canada kupeleka Ukraine Silaha nzito aina ya M777 155mm howitzers.
 
BMP-1 ikiwa kazini live
Your browser is not able to display this video.
 
Mtaa wa Tverskaya huko Moscow nasikia moto unawaka.. Bora walipukiwe na Kombora
Your browser is not able to display this video.
 
Kokosi cha Azov bado wanakinukisha Mariupol. Wanapungukiwa silaha tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Mwanajeshi wa Ukriane akipiga picha na Kifaru alichoteka aina ya TOS-1A thermobaric MLRS BM-1 launcher cha Urusi. Watu wa Takwimu wanasema Ukraine ndo nchi ya kwanza yenye Vifaa vingi vya Ukraine. Wangekuwa wananunua ndo angekuwa mnunuzi Mkuu.
 
Angalia Msafara wa Urusi ulichokutana nacho Kherkyiv.
Your browser is not able to display this video.
 
Wenzetu Mariupol wana hali ngumu. Makombora, Risasi madawa, Vimewaishia. Leo wanapigana Vita ya Mwisho. Kuna Mzigo umetoka Marekane.. Tukibahatika usiku ukaingia tushukuru Mungu. Usipoingia kesho hamna Vita Mariupol. Ukiacha Wanajeshi, tuna Wapishi, Madakitari, Wahandisi, Mafundi wa umeme na Mafundi Bomba, Waandishi wa habari na IT. So Kikosi cha Azov kisipopata Silaha leo, wapo watakaokufa, kutoroka na wengine watakekwa. Leo sina raha kabisa. Wapo wanajeshi wa kujitolea kutoka Marekani na Uingereza.

Hadi Muda huu Urusi Wameshindwa kufika Viwandani Walipo. Mapambano yanaendelea kama kawaida. Ila kesho watazidiwa. Uzuri walishajiandaa na Mahandaki kwa mwezi Mzima. Tangu Tarehe 15 April 2022 Wamegoma kijisalimisha hadi leo.

Azov wamelipua kifaru cha Urusi T-72B
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi wanamtaka Komando na Kiongozi wa Kikosi cha Azov Denis Prokopenko, kagoma Jisalimisha. Kafanya kazi ya kutukuka tangu Vita ianze. Urusi imewachukua siku 55. Hapa Mariupol kila siku ni vita ya Urusi na Azov hadi leo. Snipers wetu 9 wamefanikiwa kutoroka. Wamesema Risasi zikija wanarudi

Commander of the #Azov Regiment Denis Prokopenko.
 
Komando wa Azov ni Lieutenant Colonel kasema Vita isitishwe kwa muda ili Wananchi waweze kuhamishwa na kihamisha watu walipumiza na Marehemu ambao wqnahitaji heshima wazikwe kwa heshima. Yeye kasema hatajisalimisha. Denis ana medani za Vita, kasoma Denmark Uingereza na Marekeni. Kapitia Cuba mika Miwili. Bado anaamini wakipata Silaha wanaweza Ukomboa Mji wa Mariupol. Anadai sasa Urusi hawaji na Vifaru wala Askari wa Miguu. Wanawashambulia kwa ndege na Makombora ya Kulipua ndege yamewaishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…