Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
Usiulize ukweli. Kuna vita. Mhanga wa kwanza vitani ni ukweli.Haya unayoandika hapa yana ukweli?
Mbona naona kwenye vyombo vya habari Ukraine inachapwa vibaya mno.
Kumbe huu uzi ni wa mabeberu
tupo wengi tunaoufatilia kwa kuhabarishwa na wewe ukiwemoHv huu uzi ni wako pekeyako chief manake naona unapost utopolo mtupu