figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #12,321
Hapa wamepelekewa makombora ya kutosha. Hao wengine majeruhi. Majeruhi wenyewe nasikia walimalizwa na droneππππ Siyo mizoga jamaa wako hai wamejifanya wamekufa. Ukiangalia vizuri wanatikisika. Ila macho yanaangalia juu, ukiwashushia bomu hapo ghafla wanafufuka ππ.
Ukiona hvo ujue kashapigwaUrusi hamna aliyewauliza, lakini wanadai eti "The warships were not damaged."π€£π€£π€£π€£
Duuh si tuliambiwa bakhmut karibu itazungukwa raisi Zelensky haogopi kwenda karibu na frontline?Zelensky akiwa frontine huko Bakhmut leo
View attachment 2561649
Hii piga nikupige noma sanaMapambano kati ya kikosi cha 93rd brigade na PMC "Wagner" huko Bakhmut
View attachment 2561650
Safi sana. Zelenskyy ni moja ya Marais naowapenda. Anawapa courage sana wapiganaji wake. Na haogopi kufika eneo la karibu na frontline. ππππZelensky akiwa frontine huko Bakhmut leo
View attachment 2561649
Mhh! Handaki limesheheni mizoga. Hivi hao jamaa; wanachofia hivyo ni nini?Handaki la Warusi na Wegners
View attachment 2561790
Mrusi kweli ana lake jambo. Hayo mazagazaga ya 1948 anatafuta mahali pa kuyatupa lakini kwa sharti yakiwa na askari wanaotakiwa kupunguzwa kazi kwa lazima au kustaafishwa kwa manufaa ya Kremlin.Hivi ni vifaru vya Urusi aina ya T-54/55. Tutaanza kuviona vikichakazazwa Frontline soon. Vifaru hivi nj vya 1948π€£
View attachment 2561800