It's businessKichaa siyo lazima ale mavi. Huyu naye ni kichaa kama walivyo wengine
Mbona hii habari inajulikana na ni watoto 15 tu kati ya laki mbili karibu ndio walio rudi na hao ni wametaka wenyeweUrusi iliteka watoto Kherson na kuwapeleka Urusi ili kuwafundisha mila za Kirusi na wakawabadilisha majina. Jumuiya ya kimataifa imrmkalia kooni, kaamua kuwarudisha. Urusi anaendelea kufail nia ovu yake. Wale Urusi wa kwa Mpalange waliokuwa wanafurahia watoto kutekwa na kupelekwa Urusi leo wamenuna.
View attachment 2562989
Watoto laki mbili umewatoa wapi? Tunaomba chanzo na usiingie mitiniMbona hii habari inajulikana na ni watoto 15 tu kati ya laki mbili karibu ndio walio rudi na hao ni wametaka wenyewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu; Lakini asipuuzwe. Hatujui mission yake. Huenda anatest kama akituma barua itafika na kupokelewa Marekani. Next time ataandika barua hivyo halafu afungashemo pamoja na biological weapons e.g. anthrax spores,virus n.k.Kichaa siyo lazima ale mavi. Huyu naye ni kichaa kama walivyo wengine
Siku hizi barua zinatumwa kwa emails.Mkuu; Lakini asipuuzwe. Hatujui mission yake. Huenda anatest kama akituma barua itafika na kupokelewa Marekani. Next time ataandika barua hivyo halafu afungashemo pamoja na biological weapons e.g. anthrax spores,virus n.k.