Kwanini wanamuita hero of Russia? Alifanya kitu gani cha kipekee?Lieutenant Colonel Dmitry Lissitzky (Hero of Russia) ameuliwa kwenye special operation kwenye aparment huko Stavropol. Je, hakua na ulinzi? π€£π€£π€£
View attachment 2567529
Makamanda wangapi wa Ukraine wameshaenda na maji?Hii nawapa breaking news Urusi wa kwa Mpalange wanaopitia threas hii. Yule kamanda wenu Dmitry Lissitzky, amekwenda na maji. Mtajuta sana kuivamia Ukraine
View attachment 2567525
Kila siku mnakumbushwa kwamba huu uzi ni maalum kwa ajili ya maendeleo ya Ukraine Vitani. Nyie watu wa Russia anzisheni uzi wenu wa kuonesha Makamanda wa Ukraine wanauawa Vitani.Makamanda wangapi wa Ukraine wameshaenda na maji?
Unamkumbusha nani uzi uko public alafu nimemjibu huyo aliehusisha na kuwataja mashabiki wa UrusiKila siku mnakumbushwa kwamba huu uzi ni maalum kwa ajili ya maendeleo ya Ukraine Vitani. Nyie watu wa Russia anzisheni uzi wenu wa kuonesha Makamanda wa Ukraine wanauawa Vitani.
Hawa watu ama ni vichwa ngumu au ni ukweli kwamba hawana uwezo wa kuanzisha uzi wao. Mtu mzima haambiwi kitu kile-kile kila siku na hasikii amekaza shingo.Kila siku mnakumbushwa kwamba huu uzi ni maalum kwa ajili ya maendeleo ya Ukraine Vitani. Nyie watu wa Russia anzisheni uzi wenu wa kuonesha Makamanda wa Ukraine wanauawa Vitani.
Kama unajua uko Public unakereka nini watu kuweka mambo ya Ukraine tu. Maana ya Public na wewe si uweke za kwako ingawa utapishana na lengo la uzi. Kule kwenye uzi wa kinachojiri Ukraine kuna mtu analalamika?Unamkumbusha nani uzi uko public alafu nimemjibu huyo aliehusisha na kuwataja mashabiki wa Urusi
Au hukuona alicho andika na nilicho kijibu kwa njia ya swali?
Huoni kwamba unaanzisha malumbano kitu ambacho sio lengo au kusudio la uzi?? Ni hilo tu.Unamkumbusha nani uzi uko public alafu nimemjibu huyo aliehusisha na kuwataja mashabiki wa Urusi
Au hukuona alicho andika na nilicho kijibu kwa njia ya swali?
Mshahara wa dhambi ni mauti. Alifikiri anaenda kuua tu wengine ila yeye hatauawa. Tamaa ya pesa ilimponza na hajazipata. Bora angesubiri Parole wapite angetolewa jela.
Huyu angefia porini, fisi siku hiyo wangecheka usiku kucha kwa kupata kitoweo murua. πππLieutenant Colonel Dmitry Lissitzky (Hero of Russia) ameuliwa kwenye special operation kwenye aparment huko Stavropol. Je, hakua na ulinzi? π€£π€£π€£
View attachment 2567529
Hii ni tofauti na habari z Januari zinazomhusu Tarimo Neves Raymond?