Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Slava Ukraine [emoji1255]
 
SHUJAA ALIYEGUSA HISIA ZANGU

Paraskoviya Demchuk akiwa ametembelea Kaburi la mwanawe Oleksandr Matsievskiy. Picha kwa hisani ya Wall Street Journal

Wakati mamluki wanaopigana upande wa Urusi walipotaka kumtisha Oleksandr Matsievskiy kwa kifo, wenyewe waliambulia kukerwa na Oleksandr. Oleksandr alielewa kwamba wale mamluki ni watu wabaya sana na hakuwa na haja ya kujipendekeza kwao. Yeye alikuwa anapigania nchi yake wakate wale mamluki wengi wao wakiwa ni majambazi,wauza madawa ya kulevya na waliokuwa wamehukumiwa kifo toka kwenye magereza ya Urusi, walikuwa wanapigana ili waachiliwe huru au walipwe kwa kuua waukraine.

Oleksandr akiwa na uthabiti wa moyo alisema "Slava Ukraini!" na bila shaka malaika Mbinguni nao waliitkia "Heroiam slava!" wakati wakiipokea roho yake shujaa huyu wa Ukraine. Uzalendo na ushujaa ni kusimamia kile unachokiamini hata wakati wa mauti ikikukaribia mikononi mwa maadui zako.
 
Hawa Warusi waliambiwa Wajisalimishe wakakataa. Bila kujua wanainwa na drone. Ikabidi Mwanajeshi wa Ukraine kwa kusaidiwa na wanaocontrol drone wakamuelekeza walipo akawamaliza
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…