Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kikosi kutoka K-2 battalion. Pambani la "T-pattern". PART TWO. Dereva wa kufaru baada ya kuishiwa makombora, hakuondoka bali alianza kufukia mahandaki walipo jificha Wanajeshi 28 wa Urusi. Hadi alipoongezewa nguvu wakaja kuwakamata Warusi kama kuku wengine walisagwasagwa
View attachment 2575602
Kifaru kiliwasigina Warusi kama karanga za kuungwa katika mboga ya kisamvu. Duh!
 
Hii ndo ndege aina ya Su-24M iliyoangushwa jana saa saba na nusu Bakhumut. Urusi wanajuta why waliipeleka
Fsyo4cRWIAAfh8t
 
Kama kesho Finland atakuwa member wa NATO, atafanya mpaka wa Urusi na NATO kutoka 1,215 kilometa hadi 2,600 kilometa. Malengo ya Urusi kuivamia Ukriane ilikuwa kuzuia NATO kusogea mpaka wa Urusi. Sasa Nato wanamsogelea Mara dufu. Ndo ajue Ukriane aliionea bure. Kama ni adui kusogelea mpaka wake ndo imekuwa zaidi.
View attachment 2575635
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Wagner/Russia wanaopigana Bakhmut si wa kubezwa.

1. Wanajeshi wa wagner/Russia wanaopigana Bakhmut si wa kubezwa kwa propaganda ya aina yoyote. They are real fighting to take Bakhmut. Kwa mbinu za kivita Ukraine imezidiwa na Wagner/Russia kwa Bakhmut. Bakhmut ikichukuliwa mimi sitashangaa hata kidogo zaidi ya kuhuzunika.

2. Offensive waliyoifanya Wagner/Russia mashariki mwa Bakhmut na kaskazini kuanzia 26/03 hadi 04/04/2023 na kuwapa mafanikio kwa kusonga mbele hadi kuwa na control (be under their fire control) ya barabara zote 3 zinazoingia ndani ya mji kutoka mashariki, kaskazini na kusini mpaka makutano ya njia zote 4 (T1302, T0513, T0504). Njia pekee ambayo Wagner/Russia hawana control nayo ni kutokea makutano ya njia nne kuelekea Kostyantynivka(T0504). Hii ni dalili kuwa Bakhmut itachukuliwa muda si mrefu kama Ukraine hawatabadili mbinu ya kukabiliana na wagner/Russia.

3. Kama Ukraine wanasubilia mpaka waanze counter offensive yao ndo waimarishe frontline ya Bakhmut, basi watakuwa wanataka kuruhusu wagner/Russia watengeneze historia mpya kwa Bakhmut.

4. Kuruhusu wagner/Russia wachukue Bakhmut kutaondoa morali kwa wapiganaji wa Ukraine na wananchi wa Ukraine. Watawaathiri wapiganaji wa Ukraine kisaikolojia na kuwajengea confidence Wagner/Russia ya kuongeza mashambulizi zaidi na kumpa credit Putin kwa wananchi wake.

5. Wagner wakichukua Bakhmut, Ukraine itatumia nguvu kubwa sana kuikomboa tena Bakhmut.
 
Wagner/Russia wanaopigana Bakhmut si wa kubezwa.

1. Wanajeshi wa wagner/Russia wanaopigana Bakhmut si wa kubezwa kwa propaganda ya aina yoyote. They are real fighting to take Bakhmut. Kwa mbinu za kivita Ukraine imezidiwa na Wagner/Russia kwa Bakhmut. Bakhmut ikichukuliwa mimi sitashangaa hata kidogo zaidi ya kuhuzunika.

2. Offensive waliyoifanya Wagner/Russia mashariki mwa Bakhmut na kaskazini kuanzia 26/03 hadi 04/04/2023 na kuwapa mafanikio kwa kusonga mbele hadi kuwa na control (be under their fire control) ya barabara zote 3 zinazoingia ndani ya mji kutoka mashariki, kaskazini na kusini mpaka makutano ya njia zote 4 (T1302, T0513, T0504). Njia pekee ambayo Wagner/Russia hawana control nayo ni kutokea makutano ya njia nne kuelekea Kostyantynivka(T0504). Hii ni dalili kuwa Bakhmut itachukuliwa muda si mrefu kama Ukraine hawatabadili mbinu ya kukabiliana na wagner/Russia.

3. Kama Ukraine wanasubilia mpaka waanze counter offensive yao ndo waimarishe frontline ya Bakhmut, basi watakuwa wanataka kuruhusu wagner/Russia watengeneze historia mpya kwa Bakhmut.

4. Kuruhusu wagner/Russia wachukue Bakhmut kutaondoa morali kwa wapiganaji wa Ukraine na wananchi wa Ukraine. Watawaathiri wapiganaji wa Ukraine kisaikolojia na kuwajengea confidence Wagner/Russia ya kuongeza mashambulizi zaidi na kumpa credit Putin kwa wananchi wake.

5. Wagner wakichukua Bakhmut, Ukraine itatumia nguvu kubwa sana kuikomboa tena Bakhmut.
Kitu kizuri ni kuwa wagner na jeshi la urusi wapo kwenye mgogoro tangu mwaka jana mwishoni wagner wanachukua ujiko huku jeshi la Russia likionekan si kitu.
 
Kitu kizuri ni kuwa wagner na jeshi la urusi wapo kwenye mgogoro tangu mwaka jana mwishoni wagner wanachukua ujiko huku jeshi la Russia likionekan si kitu.
That is obvious, Wagner wanataka kuionyesha dunia kuwa wana jeshi imara ili wapate kazi zaidi. Kazi yao kubwa ni kukodiwa si na Russia tu bali na nchi yoyote.

Wagner wanaitumia Bakhmut kama show ya kujitangaza mbele ya dunia kuwa "they are capable and can fight under intensified situation"
 
Back
Top Bottom