kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Slava Ukraine [emoji1255]Urusi walikuwa wanatutisha eti kipindi cha baridi Ukraine itapigika. Mbona haipigiki sasa? Hadi sasa hakuna raia wa Ukraine kafa kwa baridi.. Eti oooh tutawakatia gesi mafuta na ujinga ujinga mwingi walikuwa wanaongea. Kwani Ukraine haina gesi? Haina mafuta? Hahahaaa[emoji1787][emoji1787]
Sasa wiki hii vifaa vya Urusi vimeshindwa kwenda Ukraine sababu wamekutana na barafu nyingi huko Urusi Mkoani Rostov. Nilijua Urusi wana mbingu yao ambayo barafu haiwasumbui
View attachment 2571603