figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,921
Wanajeshi wa Ukraine wakiwa kwenye Mahandaki ya Bakhmut
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Shughuli ipo. Tunawaombea kwa Mungu ili M/Mungu awajalie wepesi waimalize hii kazi mapema kwa mafanikio makubwa wakapumzike walau kidogo.Wanajeshi wa Ukraine wakiwa kwenye Mahandaki ya Bakhmut
View attachment 2581323View attachment 2581324View attachment 2581325View attachment 2581326
Inasikitisha mno. RIP Mashujaa wa Ukraine. Mmeitetea ardhi yenu kwa uzalendo wa hali ya juu hadi tone la mwisho la damu yenu.Kwa msaada wa drone, Kikosi Maalum ilibidi kiende kukusanya miili ya Wanajeshi wetu Frontline. Hutuachi mtu nyuma. Tulitandikwa balaa. Mtu anatoka kwenye nchi yake anakuja kuua wananchi wa nchi nyingine bila sababu kisa tu ana uwezo. Kisasi kitawakuta Urusi. Ndo Maana Azov wakimkamata Mrusi wanamtoboa macho. Part one.
View attachment 2581366
Slava Ukraine [emoji1255]Yaani huko Melitopol, Urusi waliingiza Mzigo kwa siku nne na wote umekwenda na maji. Walizima internet na mawasiliano ili wananchi wasilipoti. Ila hawakuweza kuuficha huo mzigo mkubwa. Wamegeukana eti wamehujumiana
View attachment 2579664
Slava Ukraine [emoji1255]Sarah kapewa Usajenti. Siku ya kwanza akiwa kwenye handaki kama Sajenti
View attachment 2579737
Slava Ukraine [emoji1255]Warusi wanajuta kuvamia Ukraine. Wanatubu
View attachment 2579742
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Sniper kutoka Azov akiwa Bakhmut. Kawadedisha kibao
View attachment 2581192
Slava Ukraine [emoji1255]Wanajeshi wa Ukraine wakiwa kwenye Mahandaki ya Bakhmut
View attachment 2581323View attachment 2581324View attachment 2581325View attachment 2581326
Ni roho ya kikatili tu, lakini pia mfu/maiti/mzoga hauna faida tena wala mchango wowote katika mapambano ila unaongeza mzigo na gharama ya kubeba, kuzika na muda i.e. Mzoga ni Useless katika shughuli inayoendelea ya vita. Ndo mana wanawaacha waliokufa huko maporini.Hivi kwanini Wagners wakifa wanaachwa porini?
View attachment 2582011
Atakuwa spy huyu, siyo wa kumuamini sana.Vladyslav Ammosov, a former officer of the Main Intelligence Directorate of Russia, went to the side of Ukraine.
View attachment 2582026