Jamani, Mwamba Figganigga tumemmiss sana. Atusalimie walau kidogo.Aisee! Kumbe mwamba anatuletea vya 2022? Kwa mantiki hiyo haaminiki tena ni sawa na Putin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani, Mwamba Figganigga tumemmiss sana. Atusalimie walau kidogo.Aisee! Kumbe mwamba anatuletea vya 2022? Kwa mantiki hiyo haaminiki tena ni sawa na Putin.
Asije akawa alienda naye Ukraine kujitoleaJamani, Mwamba Figganigga tumemmiss sana. Atusalimie walau kidogo.
Natamani apigwe mtu (Mrusi) kama ngoma ya Bugobogobo.Mwakilishi wa Rais wa Ukraine asema kuwa Counter Offensive ijayo ya Jeshi la Ukraine siyo tu kwamba Itawashangaza Warusi basi itawashangaza hara Waukraine wenyewe.
kimya kingi
[emoji4]Kimyaaaa sana, kulikoni.
[emoji41][emoji41]kimya kingi
[emoji41][emoji41]Natamani apigwe mtu (Mrusi) kama ngoma ya Bugobogobo.
Haka kazee hakana uchungu na uhai wa watu wake. Kanawatoa vijana kafara bila shida huko Ukraine wakati kenyewe huku kanajinywea chai tu hakana wasiwasi. Ole wake siku yaja ataomba ardhi ipasuke aingiemo.[emoji41][emoji41]View attachment 2598307