Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu figganigga yuko salama kweli?.Training ya Vikosi vya Ukraine inaendelea vyema.
Counter offensive loading.....
View attachment 2599586
Inafikirisha sana.Wakuu figganigga yuko salama kweli?.
SawaKikosi kutoka K-2 battalion. Pambani la "T-pattern". PART TWO. Dereva wa kufaru baada ya kuishiwa makombora, hakuondoka bali alianza kufukia mahandaki walipo jificha Wanajeshi 28 wa Urusi. Hadi alipoongezewa nguvu wakaja kuwakamata Warusi kama kuku wengine walisagwasagwa
View attachment 2575602
bado umelalala tu amkaHaka kazee hakana uchungu na uhai wa watu wake. Kanawatoa vijana kafara bila shida huko Ukraine wakati kenyewe huku kanajinywea chai tu hakana wasiwasi. Ole wake siku yaja ataomba ardhi ipasuke aingiemo.
Mie sikuafiki kabisa kitendo chake cha kuivamia ile nchi ndogo hivyo. Kwa nini asijaribu kufanya hivyo kwa wakubwa na wababe wenzake? Ni kwa kitendo hiko nimemchukia mazima.bado umelalala tu amka
pole sana ndio hivyo tulizoea kuona marekan na wenzie wakivamia nchi zinazo itwa za madikteta kama libya iraq siria afghanistan ....Mie sikuafiki kabisa kitendo chake cha kuivamia ile nchi ndogo hivyo. Kwa nini asijaribu kufanya hivyo kwa wakubwa na wababe wenzake? Ni kwa kitendo hiko nimemchukia mazima.
Mhhh. Mahesabu ya vita/uvamizi directly yalikataa. Fursa pekee iliyojitokeza ndo hiyo -Ukraine frontline.pole sana ndio hivyo tulizoea kuona marekan na wenzie wakivamia nchi zinazo itwa za madikteta kama libya iraq siria afghanistan ....
sasa kwanini wasimvamie dikteta putin na urusi wampige kwa kumuonea ukrain nchi ndogo vile ........
mi natamani mkubwa wa dunia aivamie russia dhaifu aipige afu tuone itakuwajee
sasa ndio ujue russia sio ya kitoto au iraq au libya nakuhakikishia hakuna taifa lolote litakuwa na uthubutu kumvamia russia marekanni na wenzie wanamjua mrussi toka karne nyingi hakubali kushindwa vita huwa ana shinda vita zote afu hawakati tamaa linapokuja jambo la kujilinda ......hawawezi sogeza pua watakuwa wanatoa misaada tu kwa bwana mdogo tu basiMhhh. Mahesabu ya vita/uvamizi directly yalikataa. Fursa pekee iliyojitokeza ndo hiyo -Ukraine frontline.
Ni muda sasa hajaleta update humu. Uzi hautembei tena. Isijekuwa alikuwa frontline na mambo yamekuwa mambo. Napata hofu na ukimya wake!.Wakuu figganigga yuko salama kweli?.
Kweli asee kitambo sana jamaa kapotea figganiggaNi muda sasa hajaleta update humu. Uzi hautembei tena. Isijekuwa alikuwa frontline na mambo yamekuwa mambo. Napata hofu na ukimya wake!.
'Keshaliwa kichwa.'Kweli asee kitambo sana jamaa kapotea figganigga
Wee! Wacha bhana! Chai au habari za kuaminika??'Keshaliwa kichwa.'
May his soul Rest In eternal Peace!
Amen!
Kweli mkuu, naona alikuwa anatumia lugha ya wenzetu wamesonga mbele! asije akawa amepatwa na tatizo wakuu.Ni muda sasa hajaleta update humu. Uzi hautembei tena. Isijekuwa alikuwa frontline na mambo yamekuwa mambo. Napata hofu na ukimya wake!.
Itabidi kuanzisha uzi kumuulizia pengine kuna mtu anamfahamu.Inafikirisha sana.
Last activists 14/4/2023.Wakuu figganigga yuko salama kweli?.
Hicho kikombe kinawakilisha Taarifa uliyotoa.figgafigga kaliwa kichwa huko ukrain [emoji23][emoji23]View attachment 2601372
Kufa ni mipango ya Mungu sio Matakwa ya binadamu. Tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kutupa uhai na kuiona leo. Kila binadamu ana misukosuko. Mrusi anapigwa balaa. Soon tutakuwa active.figgafigga kaliwa kichwa huko ukrain [emoji23][emoji23]View attachment 2601372