Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

⚡️"If the Wagner PMC does not receive ammunition, then we will have to leave our positions in Bakhmut and retreat in an organized manner or stay there to die" — Prigozhin
Your browser is not able to display this video.
 
Inawezekana ikawa ni propaganda tu siyo watu wa kuamini sana.
1. Prigozhin ni msanii na mtu wa Propaganda nyingi. Kama wangekuwa hawana silaha na risasi wangekuwa wame hold almost 85% ya Bukhmut.

2. Hapo ni kwamba anataka nguvu zaidi iongezwe Bakhmut kwa kuongeza troops maana wanasiginwa/wanasagwa (Grinded) kweli kweli.

3. Warusi/Wagner wako tayari wafie wote Bakhmut ili mradi tu waikomboe Bakhmut. Wana amini kuwa wakiichukua Bakhmut yote wataathiri kisaikolojia ukrainian troops na kwamba wataionyesha dunia kuwa Wagner/Russia have the capability to hold the territories.
 
Wagners maji ya Shingo. Boss wao bwana Prigozhin amesema kama Urusi itaendelea kukaidi kuwa silaha, basi wataondoka Bakhmut
View attachment 2604529
Upumbavu huo. Kwani Bakhmut iko Urusi?? Mrusi mwenyewe in person anajua joto ya jiwe na hathubutu kuja hapo ila anawatuma hao kenge walafi wa mshiko ili wakageuzwe mbolea. Ukraine hajamwita huyo Wagner aje Bakhmut. Tamaa ya hela ndo imemfikisha hapo na inamponza. Sasa analia-lia nini? Si aondoke amwachie Mrusi msala wake? Stupid indeed.
 
⚡️"If the Wagner PMC does not receive ammunition, then we will have to leave our positions in Bakhmut and retreat in an organized manner or stay there to die" — Prigozhin
View attachment 2604531
OK; Mr. Prigozhin. U have the choice. Either u stay there to witness ur death or u run for ur life. https://jamii.app/JFUserGuide-you stupid boy.
 
The converse is also true. Watakapomalizika hao Wagners ndo Ukrainian troops wataithibitishia na kuihakikishia dunia kwamba ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi na pia Ukraine wanauwezo mkubwa wa kuilinda nchi yao dhidi ya yeyote atakayethubutu kukwapua ardhi yao kibabe.
 
Unaota wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…