Slava Ukraine [emoji1255]Mifumo ifuatayo ya Ujerumani kuketwa Ukriane.
View attachment 2605529View attachment 2605530View attachment 2605531
- 1x IRIS-T SLM air defense system
- 8x Zetros Trucks
- 2x load-handling trucks 8x6 with 8 roll-off containers
Slava Ukraine [emoji1255]Bumper to bumper
View attachment 2605536
Slava Ukraine [emoji1255]Sniper wetu[emoji123]
View attachment 2605549
Slava Ukraine [emoji1255]Angalia Vijana wa Moscow walivyo pelekewa moto [emoji1787][emoji1787]
View attachment 2605551
Slava Ukraine [emoji1255]Zaluzhny met with NATO's commander-in-chief in Europe.
View attachment 2605572
Slava Ukraine [emoji1255]Baada ya miezi 8,akutana tena na Babu yake
View attachment 2606382
Slava Ukraine [emoji1255]Msione Urusi hawasongi mbele mkadhani hawapambani au wamepuuza. Ukweli ni kwamba wanakutana na vijana wa Ukriane mzizi wa mpingu. Wanatumia mbinu zote na uwezo wao lakini wapi. Leo Urusi karusha Missiles 18 lakini 3 tu ndo zimegusa ardhi. Nyingine zinetunguliwa. Sasa hivi Ukriane wanatunia mifumo ya Ulinzi wa anga aina ya Buk-M1, S-300, Nasams, Iris-T, na Patriot. Zingatia Ukraine ni Nchi ndogo sana labda mara nne yake ndo uipate Tanzania. Lakini kamdindia Urusi hadi aibu. Bakhmut mwezi wa kumi sasa kila siku wanasema tumeizunguka Bakhmut bado Km 2 tu kuzunguka.
Kuna jamaa alicomenti hapa nataka nimuulize km 2 ziraisha lini?
View attachment 2606437
Slava Ukraine [emoji1255]Sevastopol Naval Base ya Urusi imepelekewa moto leo. Kesho watatoa majibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2606447
Slava Ukraine [emoji1255]We don't talk much, we just say what we need to.
Thank you very much for your help and support.
Slava Ukraine!
View attachment 2606459
Slava Ukraine [emoji1255]Kazi ilikuwa kubwa sana ya kukusanya cruise missiles za Urusi zilizokuwa zinaelekezwa Kyiv zikalipuliwa njiani
View attachment 2606519View attachment 2606520View attachment 2606521
View attachment 2606522
Aisee; Jamaa hawana utaniee! Kwa kweli Mrusi anawakati mgumu sana.Freedom of russia legion huko Novosibirsk, wamenyata hadi zilipo egeshwa ndege za jeshi la Urusi wakazitia moto
Jana Putin alisema kuwa sasa Russia iko kwenye "Real war". Sababu ya kusema hivo ni kwamba kuna wanajeshi walioko ndani ya Russia wanashirikiana na Ukrainian and west.Freedom of russia legion huko Novosibirsk, wamenyata hadi zilipo egeshwa ndege za jeshi la Urusi wakazitia moto
Kweli kichwa cha Putin kimejaa tope. Yan muda wote huo (zaidi ya 1yr)alikuwa hajui kwamba nchi yake iko vitani? Sasa ndo anajua alikuwa hajui.Jana Putin alisema kuwa sasa Russia iko kwenye "Real war". Sababu ya kusema hivo ni kwamba kuna wanajeshi walioko ndani ya Russia wanashirikiana na Ukrainian and west.
Quote
“Today, civilization again is at a breaking point,” Putin said. “Again, a true war has been unleashed against our motherland.”