Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Msione Urusi hawasongi mbele mkadhani hawapambani au wamepuuza. Ukweli ni kwamba wanakutana na vijana wa Ukriane mzizi wa mpingu. Wanatumia mbinu zote na uwezo wao lakini wapi. Leo Urusi karusha Missiles 18 lakini 3 tu ndo zimegusa ardhi. Nyingine zinetunguliwa. Sasa hivi Ukriane wanatunia mifumo ya Ulinzi wa anga aina ya Buk-M1, S-300, Nasams, Iris-T, na Patriot. Zingatia Ukraine ni Nchi ndogo sana labda mara nne yake ndo uipate Tanzania. Lakini kamdindia Urusi hadi aibu. Bakhmut mwezi wa kumi sasa kila siku wanasema tumeizunguka Bakhmut bado Km 2 tu kuzunguka.

Kuna jamaa alicomenti hapa nataka nimuulize km 2 ziraisha lini?
View attachment 2606437
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Freedom of russia legion huko Novosibirsk, wamenyata hadi zilipo egeshwa ndege za jeshi la Urusi wakazitia moto
Jana Putin alisema kuwa sasa Russia iko kwenye "Real war". Sababu ya kusema hivo ni kwamba kuna wanajeshi walioko ndani ya Russia wanashirikiana na Ukrainian and west.

Quote
“Today, civilization again is at a breaking point,” Putin said. “Again, a true war has been unleashed against our motherland.” Putin suggested darkerforces are conspiring against Moscow.
 
Jana Putin alisema kuwa sasa Russia iko kwenye "Real war". Sababu ya kusema hivo ni kwamba kuna wanajeshi walioko ndani ya Russia wanashirikiana na Ukrainian and west.

Quote
“Today, civilization again is at a breaking point,” Putin said. “Again, a true war has been unleashed against our motherland.”
Kweli kichwa cha Putin kimejaa tope. Yan muda wote huo (zaidi ya 1yr)alikuwa hajui kwamba nchi yake iko vitani? Sasa ndo anajua alikuwa hajui.
 
Ukisikia mtu (Putin) anaanza kutangazia dunia kwa matukio makubwa hivyo (jana) eti anataka kupinduliwa, ujue kaanza kutepeta. Eti Ukraine inatumiwa na masters wao kutaka kumpindua. Anatafuta huruma ya wananchi

Mara hii kasahau kuwa mwaka jana February 2022 alivamia Ukraine kwa lengo la kumpindua Zelenskyy na kuitawala Ukraine.

Bila shaka dish lake limeanza kusoma chenga.
 
Back
Top Bottom