Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huko Bakhmut kuna sehemu Urusi na Wagners wamepelekewa moto. Walivyoona wamekufa 200 ndani ya siku moja ikabidi waretreat. Wagners wanalalamika kwamba Wanajeshi wa urusi wakiachwa kwenye post wakirudi wanakuta wamekimbia
 
Bro unasemaje patriotic ni ngumu kuhamisha wakati ni mobile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…