figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,321
Sasa urusi sasahivi wanatumia ndege hivi vigobole vinasaidia nini?Vikosi vya 36th Marine Brigade na The Azov Regiment, wameamua kujinoa upya ili warudi kupambana na Urusi ambao walivamia na kuua watu Mariupol. Wamatumia muda huu kujifunza silaha mpya walizoletewa kama Msaada. Hapa ni leo wakifanya Mazoezi Mkoani Mariupol.
View attachment 2197985View attachment 2197986View attachment 2197987View attachment 2197988