Slava Ukraine [emoji1255]Mwanajeshi wa Urusi wa kikundi cha Wagners anasema garama na thamani ya Wanajeshi wa Urusi waliokufa ni kubwa kuliko thamani ya Bakhmut. Hawaoni sababu ya Wanajeshi wote kufa juu ya mji usio na chochote wa Bakhmut
View attachment 2631690
Wasiuawe bali wachukuliwe mateka kama utaratibu unavyodai.Angalia Warusi karibia 70 walivyodakwa kama kumbukumbi huko Bakhmut. Walidanganywa Waukraine wameondoka 🤣🤣🤣
Swali wauawe au waachwe?
View attachment 2632512
Very Good question.Mnachekesha sana, mbona hawana alama walisokuwa nazo kwenye video?
Angalia Warusi karibia 70 walivyodakwa kama kumbikumbi huko Bakhmut. Walidanganywa Waukraine wameondoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Swali wauawe au waachwe?
View attachment 2632512
Japan wametoa Magari 100 ya Kivita kwa Ukriane
View attachment 2633757
Many ruzZians are working as fertilizers in Ukraine. By Vasily Osmakov
View attachment 2633761