Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaaah naangalia jinsi hao masoja wa "Ngumi Moja" wanavyo morale🔥Kwisha Putin
Na hapo ndo neno la "Ole wake ni kwa Putin" linaanzia. Hakuna rangi ataacha kuona. 😭 😭Kama waasi wameshatokea ndani ya Urusi; Urusi ile yenye nguvu imeisha
Hawa umewaona wapi mkuu?kaaah naangalia jinsi hao masoja wa "Ngumi Moja" wanavyo morale🔥Kwisha Putin
Legion✊⚡
Mkuu; Tazama pg. 77 hadi 79 picha na video husika kama zilivyotumwa na jamaa aitwaye Figganigga . Au unataka kutuambia jamaa anatuingiza chaka?Hawa umewaona wapi mkuu?
Hawa umewaona wapi mkuu?
Mkuu; Tazama pg. 77 hadi 79 picha na video husika kama zilivyotumwa na jamaa aitwaye Figganigga . Au unataka kutuambia jamaa anatuingiza chaka?
fr.m.wikipedia.org
Ziweke kwenye uzi wenu. Huu Uzi kama umeingia kwa bahati mbaya, unatuhusu sisi tunaounga mkono Ukraine. Hapa ndo tunapigia story. Kama unazo za Urusi wakiwachakaza Ukraine, weka kwenye uzi wenu, haujakatazwa. Hii ni Special kwa Ukriane tena walio Frontline.Zikiwekwa za Ukraine zikichakazwa utalia!
imeisha hiyoZiweke kwenye uzi wenu. Huu Uzi kama umeingia kwa bahati mbaya, unatuhusu sisi tunaounga mkono Ukraine. Hapa ndo tunapigia story. Kama unazo za Urusi wakiwachakaza Ukraine, weka kwenye uzi wenu, haujakatazwa. Hii ni Special kwa Ukriane tena walio Frontline.
si figga nigga amepost hizo picha zao uko nyuma!hapo tu ndio nimeona mkuuHawa umewaona wapi mkuu?
Mkuu; Si uweke basi uone tutakavyolia? au Unadhani hatujui vita ni mbaya ?Zikiwekwa za Ukraine zikichakazwa utalia!
Kama waasi wameshatokea ndani ya Urusi; Urusi ile yenye nguvu imeisha
... CIA ni hatari sana! Enzi za Putin zinaelekea mwisho hivyo.Uwasi ni hatare kwa putin. Na jeshi likigawanyika nguvu ukata
Ni Shujaa . RIP DanWakuu, leo sipo poa kabisa. Mwenzetu Danylo Safonov, aliyekuwa anatutumia picha kutoka Frontline upande wa Mariupol leo wamemua yeye na wenzake wawili. Washambuliwa na ndege ya Kivita. Apumzike kwa amani. Tatizo hata ukimwambia ajisalimishe alikua hakubali. Amefia anacho kiamini. Pumzika kwa amani Dan😭😭😭Wakuu, Vita si kitu kizuri.
Pacha zake za Mwisho
View attachment 2210016View attachment 2210017View attachment 2210018View attachment 2210019View attachment 2210020View attachment 2210021
Pumzika kwa amani kamanda DANWakuu, leo sipo poa kabisa. Mwenzetu Danylo Safonov, aliyekuwa anatutumia picha kutoka Frontline upande wa Mariupol leo wamemua yeye na wenzake wawili. Washambuliwa na ndege ya Kivita. Apumzike kwa amani. Tatizo hata ukimwambia ajisalimishe alikua hakubali. Amefia anacho kiamini. Pumzika kwa amani Dan[emoji24][emoji24][emoji24]Wakuu, Vita si kitu kizuri.
Pacha zake za Mwisho
View attachment 2210016View attachment 2210017View attachment 2210018View attachment 2210019View attachment 2210020View attachment 2210021
Tetete yaa daaahUwasi ni hatare kwa putin. Na jeshi likigawanyika nguvu ukata
Dah it is so sad, R.I.P DanWakuu, leo sipo poa kabisa. Mwenzetu Danylo Safonov, aliyekuwa anatutumia picha kutoka Frontline upande wa Mariupol leo wamemua yeye na wenzake wawili. Washambuliwa na ndege ya Kivita. Apumzike kwa amani. Tatizo hata ukimwambia ajisalimishe alikua hakubali. Amefia anacho kiamini. Pumzika kwa amani Dan😭😭😭Wakuu, Vita si kitu kizuri.
Pacha zake za Mwisho
View attachment 2210016View attachment 2210017View attachment 2210018View attachment 2210019View attachment 2210020View attachment 2210021