Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tupeni update wazee. Mapambano yanaendeleaje hasa Mauripol na kwingine
 
Hivi vifaru aina ya T-80U na T-80BV, Vilikuwa vya Urusi, baada ya kuviteka, sasa Ukraine inavitumia kuua waliokuja navyo. Hapa ni Mkoani Kharkiv Ukraine
 
Rais wa Belarus Lukashenka, amekana kuhusika kwenye Vita ya Ukraine. anadai urusi ilidai ni Operation, lakini Operation imeshindwa sababu imechukua muda mrefu. Ni baada ya kutishiwa kuwekewa Vikwazo
 
Angalia Ukraine ilivyolipua Kifaru cha Urusi Aina ya 2S19 Msta-S howitzer
Your browser is not able to display this video.
 
Hii ni Air Force helkopta ya Urusi aina ya Mi-24V/P, ilidondoshwa ikaanguka ndani ya maji mto Dnipro Mkoani Kyiv. Sasa tumeitoa kwenye Maji. Ndege kama hizi kuna vifaa vinachukuliwa ili kusaidia Uwanja wa Vita pia kuangalia zinatumia Teknolojia gani. Ndo maana tumeitoa majini tuisome.


Angalia hapailivyo dondoshwa
Your browser is not able to display this video.
 
Wakuu, kuna kikosi cha Makonda wa Ukraine kinaitwa KRAKEN special unit. Moto wa kuotea mbali.. angalia Magari, Silaha na Boot wanazo vaa. Ni muunganiko wa Makomandoo kutoka sehemu mnalimbali. Siku nyingi sijawapa picha za Sniper wetu. Kifo cha Sniper Dan, Kimenitoa kwenye reli.. Sitakuwa na Speed ya kupost.
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine wana kikosi cha kujivunia kinaitwa The Ukrainian 53rd Mechanized Brigade. Yaani kinatumia zana zote, kuanzia Vifaru, Drone hadi Visu. Hii ni kazi yao ya Masaa matatu
 
Hapa 30th Mechanized Brigade walikuwa wanashambulia Vikosi vya Urisi kwa kutumia Silaha aina ya Stugna-P ATGM na Drone. Cha kujifunza. Angalia jinsi wanavyochimba mahandaki. Wanatumia drone kuangalia kama kuna mahandaki au watu waliopo karibu yao.
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Wanajeshi wa urusi walivyotekwa. Wana bahati wamekamatwa na hawa wanaowavalisha kininja. Azov wanaua. Ndo maana hadi sasa hujasikia Azov wana Mateka. Ndo Maana Urusi ina Hasira na Mariupol. Walishasema Mrusi atakayekamatwa Mariupol asali sala ya Mwisho. Hawana Magereza wala chakula cha kuwapa mateka wa Kivita.
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.


Angalia Kifaru cha Urusi kilivyo nyanyuliwa na bomu la Ardhini la Ukraine. Walikuwa wanarekodi picha ya kupost propaganda zao. Wanajeshi walitega bomu wakakaa pembeni kuangalia mrusi anavyo kufa
 
Azov wakiimba zao nyimbo usiku baada ya mapambano ya Usiku kucha.
Your browser is not able to display this video.
 
Angali Mrusi alivyoteketeza ofisi za usajili wa kijeshi na uandikishaji wa Shirikisho la Urusi. Viva LEGION
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi baada ya kudai hakuna Majenerali wanaokufa, wakapewa picha. Wameambiwa waoneshe na wao picha zao wakiwa hai au wawarekodi wakikanusha kwamba wapo hai. Wiki ya pili sasa hamna hata mmoja aliyeonekana. Tulipost picha wakizikwa na kuangwa makanisani pia. Urusi hawapendi ukweli. Urusi hawajawahi Kushinda Vita yoyote. Hata hii watashindwa
 
Azov akiwasalimia Warusi asubuhi ya leo🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Ngoja niwaache na hii kazi ilotukuka ya special unit "Kraken" . Wapo Vizuri. Kabla ya kukuua wanakuzumu
Your browser is not able to display this video.
 
Huko Urusi nako, LEGION wanaendeleza harakati ya kuunguza kambi za jeshi wakipinga Uvamizi kwa ukraine. Hapa ni Nizhnevartovsk Urusi.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…