figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,621
Daaah leo nimefurahi sanaView attachment 2212860
Angalia Kifaru cha Urusi kilivyo nyanyuliwa na bomu la Ardhini la Ukraine. Walikuwa wanarekodi picha ya kupost propaganda zao. Wanajeshi walitega bomu wakakaa pembeni kuangalia mrusi anavyo kufa