Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wanajeshi wa Ukraine wakifundisha Jinsi ya kutegua bomu la Ardhini. Ni rahisi sana
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia jeshi la pili la dunia la Urusi walivyokuja kuiba Ukraine. Wanaiba televisheni, mashine za kufulia, baiskeli, simu, laptops. Lakini kuna kitu hakipo sawa. Mwanajeshi kuiba
Your browser is not able to display this video.
 
Hii spotters imekaa kama gemu, lakini ndo Warusi wanakufa. Kabla ya kuachia bomu wanaangalia litue wapi. Hizi ndo Silaha za kisasa. hata uwe nyuma ya Mlima unaonekana hadi ndani ya handaki. Wanaoshambulia wapo mbaali wanakunywa uji..hahaa
Your browser is not able to display this video.
 
URUSI: Hapa ni Wilayani Dzerzhinsk Mkoani Nizhny Novgorod . Asante LEGION
Your browser is not able to display this video.
 
URUSI: Habari njema. Kikosi cha LEGION, kimeweza kuteketeza Magari ya Jeshi Mkoani Tver. Huu mkoa zamani Ulikuwa unaitwa Kalinin, upo Magharibi mwa urusi. Malori 38 yameteketezwa Usiku wa kuamkia leo
 
hahahaaa...
Your browser is not able to display this video.
 
URUSI: Jeshi la Ukombozi la Urusi, LEGION linaendelea kushambulia Kambi za jeshi la Urusi. Hapa ni Mkoani Krasnoyarsk Mashariki mwa Urusi. Hii ni hifadhi kubwa ya polyethylene
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine washapata vifaa, Urusi watakoma. Siku nyingi nilikuwa sjawapost kikocha cha airborne Sicheslav. Angalia kazi yao, Hiki ni kikosi cha anga cha Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia camera ya Sniper Maarufu ilichorekodi. Hahahaa
Your browser is not able to display this video.
 
Hahahaaa... Warusi bana
Your browser is not able to display this video.
 
Hii ni ramani ya Ukraine. Ndani ya miezi miwili, hiyo sehemu yenye rangi nyekundu, ndipo Urusi wamefanikiwa kufika. Hata robo ya Nchi hawajafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…