Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Balozi wa Urusi nchini Poland kapigwa chata ya rangi nyekundu kama ishara ya umwagaji damu Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-90M kilivyo sambalatishwa Wilayani Staryi Saltiv Mkoani Kharkiv
Your browser is not able to display this video.
 
Leo nakuonesheni live jinsi Azov walivyopambana na Urusi Mkoani Mariupol. Askari mmoja wa Azov, bulletproof vest aloivaa ndo ilimuokoa. Jamaa hajakata Tamaa
Your browser is not able to display this video.
 
Bendera ya Ukraine bado inapepea mariupol Azov Walipoweka Kambi yao. Hii inamanisha bado wanatawala hiyo semu. Hakika Viwandani ni Nyumbani mwa Azov. Azov wsmepandisha hii bendera tarehe 09/05/2022
Your browser is not able to display this video.
 
Jana siku ya Uhuru wa Urusi 09 may 2022, Mkulima wa Ukraine kajiokotea kifaru cha Urusi. Hapa ni mkoani Kharkiv!!!
Your browser is not able to display this video.
 
Yaami Urusi wamekuja Ukraine kuiba. Leo wamefurumushwa, wakaacha vitu walivyoiba. Nguo, mashine za kufuria nguo, chupi na mapochi wqlivyoiba madukani. Cheni, Saa nk
Your browser is not able to display this video.
 
Askari wa Marekani wakiwafundisha Ukraine jinsi ya kutumia Silaha aina ya M777 howitzer. Tangu Wiki iloisha wanafundishwa kutumia baadhi ya Silaha zilizotoka Marrkani
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Huko tunapoenda Vita zitapiganwa kwa drone, angalia jamaa wanawachora Urusi kwenye Screen bila wao kujijua. Drone ni hatari sana.. Halafu inakua juu sana imeganda tu. Sijafanikiwa kupata picha ya Drone aina ya Switchblade ambazo USA wamewapa Ukraine. Nadhani bado wanafundishwa kuzitumia. Ni mabomu yanahokata kona, yanapanda na kushuka, kushoto au kulia

Hii Video drone ya kivit ya kawaida tu sema ya rangi
Your browser is not able to display this video.
 
Tatehe 09 May 2022 ilikuwa ni Paredi ya siku ya Uhuru wa Urusi. Basi wakaandaa Paredi ya Meli na boat kwenye Black Sea. Ukraine ikateketeza vyote na paredi ikaishia hapo🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…